GLORY AFUNGA KAMPENI KWA AHADI ZA MAENDELEO KAWE

………… Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Bi Glory Tausi amefunga rasmi kampeni zake za nyumba kwa nyumba kwa kuzitembelea kata za Makongo na Mabwepande.   Glory ameahidi kushirikiana na mamlaka husika kuhakikisha Barabara kubwa ya Mabwepande inawekwa Lami, na ameahidi marekebisho kwa barabara za ndani kwenye kata ya Makongo na…

Read More

Mikoa yawahakikishia usalama wananchi siku ya uchaguzi

Dar/Mikoani. Wakati Watanzania wakihesabu saa kwenda kupiga kura kumchagua Rais, wabunge na madiwani, wakuu wa mikoa nchini wamewahakikishia usalama wananchi kwenye maeneo yao. Uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika Jumatano Oktoba 29, 2025 ambapo Watanzania wenye sifa kote nchini watapiga kura kuchagua viongozi. Akizungumza leo Oktoba 27, 2025  jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Mkoa huo, Albert…

Read More

SIKU 61 ZA KAMPENI: Vyama vyatabiri ushindi, usafiri kusimama mikoani na Zanzibar

Dar es Salaam. Wakati ikiwa imebaki saa chache kwa Watanzania kuamua nani awe diwani, mbunge na Rais, vyama vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mkuu vimejinasibu kuibuka na ushindi kutokana na kazi kubwa waliyoifanya kwenye kampeni. Kampeni za uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025, zilianza Agosti 28 na zinahitimishwa kesho Jumanne, Oktoba 28 kwa upande…

Read More

Kihongosi: Uwezo wa Samia umewatingisha, kufifisha ndoto waliotaka kumuhujumu

Mwanza. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema utendaji bora wa mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan umewafunga midomo na kufifisha ndoto za baadhi ya watu waliotaka kumuhujumu na kuiparaganyisha Serikali. Kukamilisha miradi mbalimbali ya maendeleo aliyoachiwa na mtangulizi wake wa urais, hayati John Magufuli ikiwemo Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere, Reli ya…

Read More

Usafiri mikoani, Dar-Zanzibar kusitishwa Oktoba 29

Dar/mikoani. Wakati Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) ikieleza sababu za baadhi ya kampuni kusitisha safari zake kati ya kesho Jumanne Oktoba 28-30, 2025, Chama cha Kutetea Abiria kimeeleza sababu hizo hazina mashiko kwani kila mtu ana shida zake za kijamii na  kifamilia. Baadhi ya kampuni za usafirishaji wa barabara na nyingine za majini…

Read More