Polisi yataja sababu ya kumkamata Niffer

Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Jumanne Muliro amethibitisha jeshi hilo kumkamata mfanyabiashara wa mtandaoni Jenifer Jovin maarufu Niffer. Kamanda Muliro ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Oktoba 27,2025  baada ya kusambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa mfanyabiashara huyo ametekwa na watu wasiojulikana Sinza jijini Dar es Salaam alipokuwa…

Read More

TUMEMKAMATA NIFFER TUNAMUHOJI, TUHUMA ZA KUHAMASISHA VURUGU

 :::::::::::: Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Jumanne Muliro amethibitisha kuwa Jeshi la Polisi ndilo lililohusika kumkamata Mfanyabiashara Jenifer Jovin (Niffer). Hiyo ni baada ya kusambaa taarifa mitandaoni kwamba Niffer ametekwa na watu wasiojulikana leo dukani kwake maeneo ya Sinza Kumekucha Jijini Dar es salaam. kupitia taarifa iliyotolewa na JESHI Hilo limedai…

Read More

NCCR-MAGEUZI YATAKA WATANZANIA WALINDE AMANI KABLA YA UCHAGUZI

::::::: Chama cha NCCR-Mageuzi kimeiomba jamii kuendelea kudumisha amani na mshikamano, kikiwataka wananchi kuepuka kuchochewa na watu wachache wanaolenga kuvuruga utulivu wa nchi kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Kauli hiyo imetolewa leo Oktoba 27, 2025 na Katibu Mkuu wa chama hicho, ambaye pia ni mgombea mwenza wa urais, Dkt. Evaline Wilbard Munisi,…

Read More

Sh115 bilioni kufunga mfumo wa kusimamia ardhi Zanzibar

Zanzibar. Katika kuunga mkono juhudi za kuwaletea maendeleo wananchi, Benki ya CRDB, kwa kushirikiana na taasisi ya fedha ya Ufaransa ya BPIFrance, imesaini mkataba wa kuikopesha Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Sh115 bilioni kwa ajili ya kufunga Mfumo wa Usimamizi na Usajili wa Taarifa za Ardhi (LARIS). Mkopo wa mfumo huo, unaotarajia kuondoa changamoto katika…

Read More

Mwalimu aapa kupunguza umaskini, gharama za maisha

Dar es Salaam. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amesema chama hicho kina dhamira njema ya kupambana na umaskini pamoja na kuwapunguzia wananchi mzigo wa gharama za maisha. Mwalimu aliyasema hayo jana Oktoba 26, 2025 katika kampeni zake za lala salama ya zilizofanyika katika Viwanja vya Shule ya…

Read More

WAFUGAJI ZAIDI YA MILIONI NNE WAAHIDI KURA ZAO KUZIPELEKA KWA DK.SAMIA OKTOBA 29

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mwanza WAKATI ikiwa imebaki siku moja Watanzania kupiga kura Oktoba 29 ,wafugaji zaidi ya milioni 4.26 nchini wameahidi kumpa kura za kishindo mgombea urais kupitia CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwani katika miaka minne ya uongozi wake amewafanyia makubwa. Akizungumza leo Oktoba 27,2025  jijini Mwanza, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wafugaji…

Read More

Paul Biya ashinda urais Cameroon kwa mara ya nane

Yaoundé. Paul Biya ametangazwa kuwa rais mteule wa Cameroon katika uchaguzi wa urais kwa mara ya nane mfululizo akishinda kwa asilimia 53.66 ya kura zilizopigwa. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumatatu Oktoba 27, 2025 na Baraza la Katiba la nchi hiyo. Biya amepata ushindi dhidi ya mpinzani wake mkuu, Issa Tchiroma Bakary, aliyepata asilimia 35.2 ya…

Read More