VIONGOZI WA DINI WAENDELEA KIHIMIZA AMANI UCHAGUZI MKUU

:::::::::: Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha amani, umoja na uzalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, wakisisitiza kuwa amani ndiyo msingi wa ustawi wa taifa na ibada halisi kwa Mungu. Wakizungumza leo Jumatatu, Oktoba 27, 2025, katika Kongamano la Amani la Kitaifa kuelekea Uchaguzi…

Read More

WATUMISHI WA UMMA WAASWA KUSHIRIKI UCHAGUZI WA OKTOBA 29

:::::::::  Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imetoa wito kwa watumishi wote wa umma walioko katika taasisi na mashirika ya umma kote nchini kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025. Ofisi imesisitiza kuwa ushiriki wa watumishi wa umma ni sehemu muhimu ya kuimarisha misingi ya utawala bora, uwajibikaji na amani ya nchi…

Read More

Mrundi Fountain Gate aanza kutamba

BEKI wa kati wa Fountain Gate, Mrundi Derrick Mukombozi, amesema kwa sasa timu hiyo inaanza taratibu kujipata kutokana na mwanzo mbaya walioanza nao, ingawa bado wana kazi kubwa ya kufanya kuendeleza kiwango bora kwa sababu ya ushindani. Kauli ya nyota huyo inajiri baada ya juzi kuibuka na ushindi wa bao 1-0, dhidi ya KMC kwenye…

Read More

Kocha mpya Yanga anaanzia hapa, uongozi wafunguka

HESABU za kocha mpya Mreno wa Yanga Pedro Goncalves, zinaanza leo kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini Dar, wakati mabingwa hao wakiivaa Mtibwa Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara. Iko hivi; Yanga baada ya kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika timu ikiongozwa na Patrick Mabedi, miamba hiyo inarejea kuwapa…

Read More

Othman aibua tuhuma mpya kuhusu uchaguzi, ZEC yamuonya

Unguja. Wakati mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman akitoa tuhuma tofauti dhidi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), yenyewe imemuonya kuacha kutoa taarifa za uongo na zinazoashiria kuleta taharuki kwa wananchi. ZEC imevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua kutoka na kauli zinazotolewa ambazo hazina uthibitisho zikiashiria uvunjifu wa amani…

Read More

Mastaa Yanga wavuna Sh210 milioni

BAADA ya Yanga kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, mabosi wa klabu hiyo wamewatunuku mastaa wa kikosi hicho Sh200 milioni kufuatia kazi kubwa waliyoifanya. Yanga ambayo ilikuwa na kibarua kizito baada ya kupoteza mechi ya kwanza ugenini dhidi ya Silver Strikers ya Malawi kwa bao 1-0, Jumamosi iliyopita ilishinda nyumbani 2-0 na…

Read More

NLD yaahidi kutekeleza Dira 2050

Dar es Salaam. Chama cha National League for Democracy (NLD) kimesema kinakwenda kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Chama hicho kilizindua kampeni zake Septemba 4, 2025 mkoani Tanga, katika viwanja vya Stendi ya Pangani na kuendelea na kampeni hizo kwa mtindo wa nyumba kwa nyumba. Akizungumzia kampeni hizo juzi, mgombea urais wa Tanzania kupitia…

Read More

Zanzibar kuanza kupiga kura kesho

Unguja. Ni dhahiri safari ya siku 46 za kampeni za kuusaka urais, ubunge, uwakilishi na udiwani kisiwani Zanzibar imekamilika baada ya kuhitimishwa leo Jumatatu, Oktoba 27, 2025. Kukamilika kwa kampeni hizo kunatoa nafasi kwa wananchi kupiga kura ya mapema kesho Jumanne, Oktoba 28, 2025, kabla ya kura kuu itakayojumuisha wapigakura wote keshokutwa, Oktoba 29. Kwa…

Read More