‘Wafanyakazi waruhusiwe wakapige kura walikojiandikisha’

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), imezitaka taasisi zilizo chini yake kutoa ruhusa kwa wafanyakazi waliojiandikisha nje ya vituo vyao vya kazi ili waweze kushiriki katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Haya yamesemwa ikiwa zimebaki siku mbili kabla Watanzania kwenda kupiga kura kumchagua Rais, mbunge na diwani atakayewaongoza kwa…

Read More

Mtoto wa Mjini – 15

KATIKA mitoko yote waliyokuwa wakifanya, kuna kitu kilimshangaza sana Linnie, pamoja na starehe zote lakini Muddy hakuwa mnywaji wa pombe.Hata pale mwanamke huyo alipojaribu kumshawishi alikutana na kipingamizi, Muddy hakuwa akinywa na mara zote alikuwa akitumia vinywaji laini visivyokuwa na kilevi cha aina yoyote.Uhusiano wao ulizidi kuimarika na watu wengi walizidi kuwaonea wivu. Tangu Muddy…

Read More

Ushirikiano wa Taasisi ya Puma Energy Foundation na Solar Sister Unavyowawezesha Wajasiriamali Wanawake Nchini Tanzania

 Katika nchi za Afrika zilizoko kusini mwa jangwa la Sahara, zaidi ya watu milioni 940 bado hawana upatikanaji wa uhakika wa umeme, na zaidi ya milioni 700 wanategemea nishati hatarishi kama kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia. Nchini Tanzania, zaidi ya nusu ya wananchi—takribani watu milioni 36—wanaishi bila umeme.  Jamii nyingi vijijini hulazimika kutumia…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Hii ndio hatari ya Polisi kutotekeleza amri ya mahakama

Oktoba 23,2025, Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Bukoba, kupitia maombi maalumu (Habeas Corpus), ilitoa amri kwa Jeshi la Polisi kuwaachia huru au kuwafikisha kortini, watuhumiwa wa uhalifu wanaowashikilia kinyume cha sheria. Lakini badala ya kutekeleza amri hiyo ya mahakama, tumemsikia na kumuona Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Brasius Chatanda, akijitetea kuwa hawajapokea amri hiyo…

Read More

Viongozi wa dini wasisitiza haki, amani kuelekea uchaguzi mkuu

Dar/Mikoani. Zikiwa zimebaki siku mbili Watanzania kupiga kura kuchagua viongozi wawatakao, viongozi wa dini nchini wametoa wito wa haki na amani wakati wa uchaguzi huo huku wakiwahamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura. Jana, Oktoba 26, 2025, ikiwa ni Jumapili ya mwisho kabla ya shughuli ya kupiga kura inayotarajiwa kufanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025, viongozi wa dini…

Read More

THBUB yahimiza Watanzania kujitokeza kupiga kura kwa amani

Dar es Salaam. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imewataka Watanzania wote waliotimiza vigezo vya kikatiba kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025. Kwa mujibu wa tamko lililotolewa na Mwenyekiti wa THBUB, Jaji mstaafu, Mathew  Mwaimu, limeeleza kuwa  kupiga kura ni haki ya msingi inayomuwezesha kila…

Read More