Mrundi Fountain Gate aanza kutatamba
BEKI wa kati wa Fountain Gate, Mrundi Derrick Mukombozi, amesema kwa sasa timu hiyo inaanza taratibu kujipata kutokana na mwanzo mbaya walioanza nao, ingawa bado wana kazi kubwa ya kufanya kuendeleza kiwango bora kwa sababu ya ushindani. Kauli ya nyota huyo inajiri baada ya juzi kuibuka na ushindi wa bao 1-0, dhidi ya KMC kwenye…