Mwokozi wa Gereza la Syria ambaye anatafuta haki kwa wale ambao bado wanakosa – maswala ya ulimwengu

Leo, na msaada wa UN, mmoja wa wafungwa hao wa zamani, mlinzi wa haki za binadamu wa Syria Riyad Avlar, anafanya kazi ili kujua nini kilitokea kwa wale ambao hawakufanya hivyo – na kutafuta haki kwa waliopotea. Anakumbuka majibu ya mama mmoja alipomwambia kwamba mtoto wake amekufa akiwa kizuizini: “Ninakubali hii, lakini sijapoteza tumaini. Siku…

Read More

CCM kurudisha mashamba ya Kili Flowers serikalini, kuingizwa BBT

Arusha/Mtwara. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyarudisha chini ya umiliki wa Serikali mashamba makubwa ya maua yaliyokuwa yakimilikiwa na taasisi ya Kili Flowers, baada ya wawekezaji hao kushindwa kuyaendeleza. Samia yupo mkoani humo akiendelea kuinadi Ilani ya CCM na kuomba ridhaa ya wananchi…

Read More

Mabosi Yanga wavutana hatma ya Folz ikijadiliwa

KATIKA kipindi hiki ambacho ndani ya Yanga kuna presha kubwa inapelekwa na mashabiki wa timu hiyo wanaodai hawamuelewi Kocha Mkuu, Romain Folz, taarifa mpya ni kwamba upande wa viongozi nao wameanza kuvutana. Ukiangalia kwa nje, sakata la hatma ya Folz bado linakosa picha yenye utulivu baada ya kuibuka mijadala tofauti juu ya mustakabali wa kocha…

Read More

Wajasiriamali wahimizwa kutumia taasisi wezeshi

Musoma. Wajasiriamali pamoja na wafanyabiashara wadogo mkoani Mara wametakiwa kutumia fursa za uwepo wa taasisi wezeshi zikiwemo za mafunzo na kifedha, ili kuboresha biashara zao na kuzifanya kwa tija. Wito huo umetolewa mjini Musoma leo Alhamisi Oktoba 2, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi alipokuwa akifunga kongamano la wafanyabiashara wadogowadogo mkoani…

Read More