Vyuo vikuu vitano vyaungana kukabiliana na mabadiliko tabianchi

Morogoro. Watafiti na wahadhiri kutoka vyuo vikuu vitano wamekutana mjini Morogoro kwa ajili ya kutafuta suluhisho kwa changamoto zinazochochewa na mabadiliko ya tabianchi hususani katika sekta za kilimo, afya na upatikanaji wa maji. Katika mkutano huo unaohusisha vyuo vikuu vinne vya Tanzania na kimoja cha Canada, wanasayansi wamepanga kuja na majawabu jumuishi yatakayogusa maisha ya…

Read More

Mageuzi ya mifumo CRDB yanavyofungua fursa mpya

Dar es Salaam. Mageuzi ya mfumo mkuu wa kibenki ya CRDB yametajwa kuwa hatua kubwa ya kimkakati inayoonesha ukomavu katika sekta ya fedha nchini. Kauli hiyo imetolewa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, wakati akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Abdulmajid Nsekela, kuhusu mageuzi ya mfumo huo, akisema yanaenda kuongeza ufanisi na…

Read More

AHADI YA DK.SAMIA KWA WAKAZI JIJI LA ARUSHA UJENZI BARABARA ZA LAMI,SOKO LA WAMACHINGA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Arusha MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameeleza  katika miaka mitano ijayo Serikali imejipanga kuboresha miundombinu mbalimbali ya mji wa Arusha ikiwemo masoko ya kisasa na barabara za lami. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Mkoa wa Arusha leo Oktoba 2,2025 katika Uwanja wa Sheikh Amri…

Read More

TRA yakusanya Sh8.97 trilioni kwa miezi mitatu

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya Sh8.97 trilioni kati ya Julai hadi Septemba 2025 Ikiwa ni ongezeko la asilimia 15.1 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliotangulia. Makusanyo hayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 106.3 ya lengo la kukusanya Sh8.43 trilioni. Taarifa iliyotolewa na TRA leo Oktoba 2, 2025  inaeleza…

Read More

Riba ya BoT kwa mabenki kubaki asilimia 5.75

Dar es Salaam. Matokeo chanya yanayoonekana katika shughuli za kiuchumi yametajwa kuwa kichocheo cha kiwango cha Riba ya Benki Kuu (CBR) kusalia kuwa asilimia 5.75 kama ilivyokuwa robo mwaka uliopita. Riba hiyo imesalia kama ilivyo ikiwa ni baada ya Kamati ya Sera za Fedha (MPC) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kufanya mapitio na kujiridhisha…

Read More

Gomez anataka ndoo Simba | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Seleman Mwalimu ‘Gomes’ amesema bao la kwanza alilofunga juzi dhidi ya Namungo Ligi Kuu Bara akiwa na uzi wa Wekundu wa Msimbazi ni mwanzo wa mengi yanayofuata, huku akiwa na hesabu za kuisaidia timu hiyo kutwaa mataji msimu huu. Simba imeanza vizuri msimu huu wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na…

Read More

Mwalimu aahidi kushusha kodi vifaa vya ujenzi

Morogoro. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi kupunguza kodi kwenye vifaa vya ujenzi endapo atachaguliwa kuwa rais katika uchaguzi ujao. Amesema lengo ni kuwawezesha Watanzania kujenga nyumba za kisasa kwa gharama nafuu. Akihutubia wakazi wa Kata ya Kimamba, wilayani Kilosa mkoani Morogoro leo Alhamisi, Oktoba 2, 2025…

Read More

DK.SAMIA:TUMEBORESHA UWANJA WA NDEGE ARUSHA, KUANZA KUTUMIKA USIKU NA MCHANA KUANZIA JANUARI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Arusha MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imefanya maboresho katika Kiwanja cha Ndege Arusha ambapo Sh.bilioni 17 zimetumika kufanya maboresho hayo ambapo kinatarajiwa kukamilika Desemba mwaka huu. Akizungumza leo Oktoba 2,2025 mbele ya maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Sheikh mkooani Arusha amesema katika miaka…

Read More