Dk Mwinyi: Msidanganyike kujitokeza siku ya kura ya mapema

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amewasihi wananchi wasidanganyike kujitokeza siku ya kura ya mapema kwani walengwa wanafahamika. Kadhalika, amewataka wanachama wa chama hicho, wasibweteke kujiaminisha kuwa tayari wameshashinda, badala yake wajitokeze Oktoba 29, 2025 kukipigia kura chama hicho ili washinde kwa kishindo. Kura ya mapema…

Read More

Mfanyabiashara adaiwa kujinyonga Moshi, sababu yatajwa

Moshi. Mfanyabiashara katika sekta ya utalii, Azizi Msuya (39), mkazi wa Sambarai wilayani Moshi, amekutwa amefariki dunia akidaiwa kujinyonga nyumbani kwake kwa kutumia kamba ya katani iliyokuwa imefungwa juu ya kenchi. Tukio hilo limetokea leo Alhamisi, Oktoba 2, 2025 saa 2 asubuhi katika kata ya Kindi, tarafa ya Kibosho, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Kwa…

Read More

Tanzania yaanza afya kidijitali kuharakisha afya kwa wote

Dar es Salaam. Tanzania imeanza kuongeza uwekezaji katika afya ya kidijitali na teknolojia zinazotumia takwimu ili kuharakisha safari ya kufikia Huduma ya Afya kwa Wote (UHC). Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Seif Shekalaghe  amesema Serikali ipo mbioni kukamilisha Mkakati wa Afya Kidijitali 2025–2030 utakaolenga kuunganisha intelijensia ya Akili Unde (AI), kuimarisha usalama wa taarifa…

Read More

Ibenge kuongeza nguvu eneo la mbele Azam FC

KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge amesema moja ya kipaumbele chake katika kipindi cha mapumziko ya kalenda ya FIFA ni kuimarisha safu ya ushambuliaji na kurekebisha nidhamu ya timu hiyo katika kulinda mpira, baada ya kasoro hiyo kuwagharimu dhidi ya JKT Tanzania. Katika mechi hiyo, iliyochezwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, iliisha kwa sare…

Read More

Maboresho mfumo utoaji leseni za madini kupunguza urasimu

Arusha. Maboresho ya mfumo wa utoaji na usimamizi wa leseni za madini, yanatajwa kupunguza vitendo vya urasimu kwa wawekezaji na wachimbaji hapa nchini. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi Oktoba 2, 2025 jijini Arusha na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria kutoka Tume ya Madini, Francis Kayichile wakati akizungumza katika mafunzo maalumu ya mfumo wa utoaji na usimamizi…

Read More

Mabasi mapya yaongeza nguvu Kimara-Gerezani

Dar es Salaam. Mabasi ya Kampuni ya Mofat Limited, yaliyopangwa kutumika katika Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) katika njia ya Gerezani–Mbagala, yameanza rasmi kutoa huduma ya muda ya usafiri katika njia ya Kimara-Gerezani. Uwepo wa mabasi hayo yanayotumia mfumo wa nishati ya gesi asilia umeleta mabadiliko chanya katika huduma za usafiri kati ya Kimara…

Read More