MAGEUZI CRDB YALETA MREJESHO CHANYA SEKTA YA FEDHA

::::::::::: Na Mwandishi Wetu,  Mageuzi ya mfumo mkuu wa kibenki wa Benki ya CRDB yameonekana kuwa na faida kubwa kwa sekta ya fedha, ikiwa ni pamoja na kuimarisha usalama wa miamala, kuongeza ubora wa huduma na kuwezesha upanuzi wa kimataifa wa huduma za kifedha. Hatua hiyo imeongeza uwezo wa benki kuhudumia wateja wake katika matawi…

Read More

Waziri Mkuu Majaliwa Akagua Huduma za Mabasi ya Mwendokasi Kivukoni – Video – Global Publishers

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amefika katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi Kivukoni kuangalia jinsi shughuli za usafirishaji zinavyoendelea baada ya kuingizwa kwa mabasi mapya katika ruti za Kimara kuelekea Gerezani, Kivukoni na Morocco. Akiwa kituoni hapo, Majaliwa ameelezea mipango ya serikali ya kuboresha usafiri huo na kueleza kuwa mabasi mapya yaliyoingia barabarani…

Read More

TRA YAENDELEA KUNG’ARA KWA MAKUSANYO MAKUBWA YA KODI

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuandika historia mpya ya makusanyo ya kodi kwa kukusanya kiasi cha Sh. Trilioni 8.97 sawa na ufanisi wa asilimia 106.3 ya lengo la kukusanya Sh. Trilioni 8.44. katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/26 (Julai hadi Septemba 2025). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamishna…

Read More

ACT Wazalendo yaahidi meli za kisasa za uvuvi Zanzibar

Pemba. Meli na vifaa vya kisasa vya uvuvi ni miongoni ahadi zitakazotekelezwa na Chama cha ACT – Wazalendo ili kuboresha shughuli za sekta hiyo, endapo kikishika dola ya kuiongoza Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29. Ahadi hizo ni kwa mujibu wa mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho, Othman Masoud Othman, utekelezaji…

Read More