Watatu walioshtakiwa kumuua bodaboda wahukumiwa kifo

Arusha. Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Geita, imewahukumu watu watatu adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la mauaji ya dereva bodaboda. Waliohukumiwa adhabu hiyo ni Faraji Liyugana, Said Ponera na Rashid Fussi ambao walishtakiwa kwa mauaji ya Fanyeni Adam, kosa walilolitenda kinyume na kifungu cha 196 na 197 cha Kanuni…

Read More

ELIMU NJIA KUU YA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuathiri kwa kiwango kikubwa ustawi wa jamii na mazingira hali inayoongeza haja ya elimu na uelewa wa pamoja kama silaha kuu ya kupambana na changamoto hiyo. Akifunga Kongamano la Pili la Kisayansi la Muungano wa Vyuo Vikuu Vitano lililofanyika mjini Morogoro, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Musa Kilakala, amewataka wananchi kuachana…

Read More

Serikali yajibu mapigo ripoti ya HRW haki za binadamu

Moshi/Dar. Serikali ya Tanzania imeijibu ripoti ya Shirika la Kimataifa la Uangalizi wa Haki za Binadamu (HRW) juu ya ukiukwaji wa haki za kiraia kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, ikisema ni ya upotoshaji na uongo. Wakati Serikali ikijua juu ripoti hiyo, wanazuoni waliozungumza na Mwananchi wametofautiana kimtazamo, baadhi wakisema yaliyosemwa na HRW si mageni yamekuwepo nchini,…

Read More

DKT.NCHIMBI NDANI YA JIMBO LA NANYAMBA,MTWARA

Picha za matukio mbalimbali ya Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel  John Nchimbi leo Alhamisi Oktoba 2,2025,akiwahutubia Wananchi wa jimbo la Nanyamba,wakati akielekea wilaya ya Tandahimba kwenye mkutano wake mkubwa wa hadhara wa Kampeni,akiendelea kuzisaka kura za ushindi wa kishindo za Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Read More

Dar City, DB Lioness zaishika fainali DBL

MECHI za pili za fainali ya Ligi ya Mpira wa Kikapu Dar es Salaam (BDL) zilipigwa juzi Jumanne na Dar City na DB Lioness ziliendeleza ubabe kwa kuzifunga JKT na JKT Stars, kwenye viwanja vya EDonbosco, Upanga. Katika mchezo wa wanaume Dar City dhidi ya JKT, ulikuwa wa kuvutia na kutokana na ushindani wa pande…

Read More