Mwendokasi yazidi ‘kupasua’ vichwa wananchi

Dar es Salaam. Wakati wananchi wakiendelea kulazimika kusubiri muda mrefu kupata huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi, Serikali mkoani Dar es Salaam imetoa taarifa ya namna inavyoshughulikia kero hiyo, ambayo wengi hulazimika kuyapanda kwa kugombea. Asubuhi ya leo Oktoba mosi, 2025, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amefanya ukaguzi…

Read More

Rekodi idadi ya uharibifu juu ya vibali vya ujenzi wakati Israeli inazidisha ajenda ya kuzidisha – maswala ya ulimwengu

Jengo hili la makazi lililokuwa na vyumba viwili lilikuwa moja ya miundo 12 iliyobomolewa na viongozi wa Israeli katika eneo la C C la Kijiji cha Al Judeira, katika Gavana wa Yerusalemu, akitoa mfano wa vibali vya ujenzi vilivyotolewa na Israeli, ambavyo karibu haiwezekani kwa Wapalestina kupata. Mikopo: Jamii kupitia Unocha Maoni na Baraza la…

Read More

Ushauri wa bure kwa Fountain Gate

KWA timu ya Fountain Gate, kile ambacho imekifanya msimu uliopita, imekirudia tena ambacho ni kuanza msimu huku ikiwa haina kikosi kilichokamilika. Wanacheza Ligi Kuu msimu huu wakiwa na kikosi cha wachezaji 13 tu na labda wa ziada ni wale wa kikosi chao cha vijana chini ya umri wa miaka 20. Sababu ya Fountain Gate kutumia…

Read More

TFF yabanwa kesi ya kumfungia maisha kocha Katabazi

MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imetengua hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam, Kisutu iliyoifuta kesi ya Kocha Listoni Katabazi dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kupitia Bodi yake ya Wadhamini. Badala yake, mahakama hiyo imeirejesha kesi hiyo katika Mahakama ya Kisutu huku ikiiamuru mahakama hiyo ya chini iendelee…

Read More

Wananchi Kimara Wapongeza Ujio wa Mabasi Mapya ya Mwendokasi

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV BAADA ya wananchi kulalamika huduma zisizoridhisha katika usafiri wa Mwendokasi hasa kwa wasafiri wa njia ya Kimara, leo Oktoba 2,2025 Serikali imeongeza mabasi mapya na wananchi wameshukuru ujio wa mabasi hayo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, baadhi ya abiria wa Kivukoni wameipongeza Serikali kwa kuweza kusikia kilio Chao na kuruhusu mabasi…

Read More

Mukwala akaze buti kwa Sowah, Mwalimu

PALE Simba hivi sasa kuna ushindani mkubwa wa nafasi ya mshambuliaji wa kati inayowahusisha wachezaji watatu, Steven Mukwala, Jonathan Sowah na Selemani Mwalimu. Mukwala ni mwenyeji kwa vile alikuwamo katika kikosi cha Simba msimu uliopita ambacho alikifungia mabao 12 katika Ligi Kuu Tanzania Bara, lakini wenzake wawili, Mwalimu na Sowah ndio wanaitumikia Simba kwa mara…

Read More

KIONGOZI BORA HUANDALIWA : XAVIER

Na Khadija Kalili, Michuzi TV NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Xavier Mrope Daudi amewaasa washiriki wa mafunzo ya Uongozi na Usimamizi wa Taasisi za Umma (SLM-PESA) pamoja na Vijana yaliyoanza tarehe 29 Septemba na kuhitimishwa Oktoba 4 Mwaka huu kua Kiongozi bora huandalia kuanzia ngazi ya…

Read More