Msiwatishe wachezaji kwenda Yanga, Simba

MCHEZAJI anapotoka timu nyingine ya hapa nchini na kujiunga na Yanga au Simba  kumekuwa na maneno mengi ya kuonyeshwa kwamba anaenda katika hizo klabu mbili kusotea benchi. Lengo hapo ni kutaka kuaminisha kwamba mchezaji anatakiwa kubaki katika timu ya daraja la kati au la chini kiuchumi ili apate nafasi ya kucheza na sio kufuata hela…

Read More

Wazee waomba kusogezewa huduma za pensheni vijijini

Unguja. Wakati ikiadhimishwa siku ya wazee duniani, wazee kisiwani hapa wameiomba Serikali kuwaboreshea huduma za upatikanaji wa fedha za pensheni vijijini, kwani ufuatiliaji wake umekuwa na changamoto kwao. Hayo yameelezwa leo Oktoba Mosi, 2025 katika maadhimisho ya wazee duniani yaliyofanyika Sebleni, Mkoa wa Mjini Magharibi. Jaku Jabu kutoka Matemwe, amesema pensheni ya wazee imekuwa na…

Read More

BULUGU AWAHAMASISHA VIJANA WA MLOWO KUICHAGUA CCM

KATIBU Msaidizi Mkuu Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa CCM, Ndg. Bulugu Magege, leo tarehe 30/09/2025 amekutana na vijana wa Kata ya Mlowo na kuwasisitiza kuhakikisha kura zao zote wanampa Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na wagombea wa CCM katika ngazi zote. Katika mazungumzo hayo, Bulugu aliwaeleza vijana kuwa Ilani ya CCM imewapa kipaumbele kikubwa…

Read More

Rais Samia atengua, ateua viongozi wapya DART na UDART

Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wapya katika taasisi zinazohusika na usimamizi wa huduma za mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Oktoba 2, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dk Moses Kusiluka, imeeleza kuwa, Said Tunda ameteuliwa kuwa Mtendaji…

Read More

Shibuda: Migogoro ya kisiasa inaanzia majumbani

Maswa. Mwenyekiti Mstaafu wa Vyama vya Siasa nchini, John Shibuda ametoa wito kwa wazee kote nchini kuchukua nafasi yao kama mabalozi wa amani, umoja na mshikamano wa kitaifa. Pia, Shibuda ambaye pia ni mmoja wa wazee wa heshima katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, amebainisha kuwa wao ndio nguzo kuu katika kuimarisha maelewano ndani ya…

Read More

Wasira: Msiombe sumu ya ubaguzi kwenye uchaguzi

Mtwara. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewataka Watanzania kuepuka ubaguzi wa kikabila na kidini katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa madhara yake ni makubwa na yanaharibu mshikamano wa kitaifa. Akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM mjini Mtwara, Wasira amesema Tanzania imejengwa juu ya msingi wa umoja,…

Read More