Bado Watatu – 46 | Mwanaspoti

NIKAIPOKEA ile simu huku nikiendesha gari nikijua fika kwamba kwa kachero kama mimi kitendo hicho kilikuwa kosa, lakini mapenzi ni kitovu cha uzembe. Nikakikumbuka kitabu cha Ngoswe.“Hello baby…!”“Hello. Habari yako?” Sauti ya Hamisa ikasikika kwenye simu. Ilikuwa kama muziki masikioni mwangu.“Nzuri. Unaendeleaje?”“Sijambo, sijui wewe?”“Mimi nashukuru Mungu. Niambie…?”“Leo niko ‘off’. Nimepumzika nyumbani,” akaniambia.“Upo nyumbani?” nikamuuliza kama…

Read More

Wagombea ubunge, udiwani na mwelekeo mpya wa kusaka kura

Dar es Salaam. Kampeni za uchaguzi wa mwaka huu zimekuwa na sura tofauti na ilivyozoeleka katika historia ya siasa za Tanzania. Tofauti na chaguzi zilizopita, mikutano ya hadhara ya juu ya majukwaa, ilikuwa kipimo cha nguvu za wagombea na ilikuwa ikifanyika kwenye viwanja, lakini safari hii hali ni tofauti. Wagombea wameonekana kushuka mitaani, masokoni, nyumba…

Read More

Nabi avunja ukimya, afafanua ishu ya kutua Simba

KUNA taarifa zimesambaa kwamba, Simba SC imemfuata Kocha Nasreddine Nabi kwa ajili ya kumrithi Fadlu Davids aliyetimkia Raja Casablanca ya Morocco huku uwepo wake jijini Dar es Salaam ukichochea taarifa hizo. Nabi kwa sasa yupo Dar es Salaam baada ya kutokuwa na kikosi cha Kaizer Chief baada ya uongozi wa klabu hiyo kuwa kwenye mipango…

Read More

MGOMBEA UDIWANI KATA YA MJINI SONGEA, MATHEW NGALIMANAYO AOMBA RIDHAA YA AWAMU YA PILI

Songea_Ruvuma. Mgombea Udiwani wa Kata ya Mjini, Manispaa ya Songea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mathew Casian Ngalimanayo, ameomba tena ridhaa ya wananchi ili aweze kuendelea kulitumikia eneo hilo kwa kipindi cha pili, akiahidi kuendeleza jitihada za maendeleo hususan kwenye sekta ya elimu, miundombinu na mazingira rafiki kwa wafanyabiashara. Akizungumza Oktoba 1, 2025 katika uzinduzi…

Read More

‘Mgogoro wa Trust’ huathiri utaftaji wa chanjo, uwanja wa michezo lazima ‘utumike uzuri wa kawaida’, Türk inataka utaftaji wa kudumu huko Lebanon – maswala ya ulimwengu

Na kwa sababu matumizi ya huduma ya afya pia iko chini ya shinikizo ulimwenguni, inapaswa kuwa kipaumbele kukuza chanjo zinazojulikana, jopo lilisisitiza. WHO Mkuu wa chanjo Dk. Kate O’Brien, alisisitiza kwamba mchanganyiko wa MMR Jab ambao unalinda dhidi ya surua, matundu na rubella, ni salama kwa watoto. ‘Hatari kubwa’ “Kilicho muhimu sana ni kwamba Rubella…

Read More