Askofu Mkuu Ruwa’ichi atangaza msimamo Kanisa Katoliki

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Jude Thaddaeus Ruwa’ichi amesema wanaohangaika wakidhani kanisa hilo linataka kushindana, kulumbana au kushikana mieleka na Serikali, watambue halina mpango huo. Amesema hayo leo Oktoba mosi, 2025, wakati wa maadhimisho ya misa takatifu ya jubilei ya mapadri wa jimbo hilo iliyofanyika Msimbazi…

Read More

Mayele atupia mbili Pyramids ikiiadhibu APR kwao

CHAMA la mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele, Pyramids FC limeanza na ushindi wa mabao 0-2 ugenini dhidi ya APR ya Rwanda yaliyofungwa na nyota huyo katika mechi ya kwanza ya raundi ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika. Nyota huyo raia wa DR Congo, amefunga mabao yote mawili kipindi cha pili, akiisaidia timu hiyo…

Read More

Doyo aahidi kupandisha mikopo ya asilimia 10

Tabora. Mgombea urais kupitia tiketi ya chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassani Doyo, ameahidi endapo atachaguliwa kuongoza serikali, mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu bila riba, itaongezwa hadi kufikia asilimia 40 ili ichochee ukuaji wa uchumi kwa wananchi. Akihutubia leo Jumatano, Oktoba Mosi 2025,…

Read More

Mayele awaliza APR kwao, atupia mbili

Fiston Mayele ameanza pale alipoishia msimu uliopita katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuiongoza Pyramids FC kupata ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya APR ya Rwanda akifunga mabao yote hayo ya timu yake. Msimu uliopita, mshambuliaji huyo wa timu ya Taifa ya DR Congo alifumania nyavu mara sita kwenye mashindano hayo na kuibuka…

Read More

Mwalimu kuja na suluhu ya kudumu migogoro ya wakulima, wafugaji

Morogoro. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi kushughulikia na kuleta suluhu ya kudumu ya migogoro ya muda mrefu kati ya wakulima na wafugaji inayowasumbua wakazi wa Mikumi moani Morogoro na maeneo mengine nchini, endapo atapewa ridhaa ya kuongoza nchi. Akizungumza katika mkutano wa kampeni Uliofanyika leo Jumatano…

Read More

Dar wamkabidhi Dk Nchimbi kero tano

Dar es Salaam. Kampeni za mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi katika mkoa wa Dar es Salaam, zimekutana na changamoto kuu tano na kuahidi kuzitafutia ufumbuzi. Dk Nchimbi amefanya mikutano kwa siku nne katika mkoa huo wenye majimbo 12 ya Kigamboni, Kawe, Kivule, Ukonga, Mbagala, Segerea, Chamanzi, Ilala, Ubungo,…

Read More

Pacome aitwa Ivory Coast kufuzu Kombe la Dunia 2026

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua ameitwa kwa mara ya pili kwenye timu ya taifa ya Ivory Coast kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia 2026. Pacome anaungana na Kessie Franck, Fofana Seko na Ibrahim Sangare anayecheza Nottingham Forest ya England kwenye eneo la kiungo kujiandaa na mechi dhidi ya Seychelles ugenini…

Read More

Othman aahidi kuboresha muundo wa ZEC

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar (ACT Wazalendo), Othman Masoud Othman, amesema Serikali atakayoiunda itafanya mabadiliko ya muundo wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ili kulinda maslahi ya sasa na vizazi vijavyo, kuepuka kasoro zinazojitokeza wakati wa uchaguzi. Ametoa msimamo huo, leo Jumatano Oktoba Mosi, 2025 wakati akizungumza na wazee mashuhuri wa Shehia ya Pujini, Wilaya…

Read More