Dk Mwinyi: Ahadi tulizotoa tumezitimiza, tunaomba ridhaa tena

Unguja. Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amesema ahadi walizotoa wamezitimiza lakini wamerudi kuomba kura ili wafanye makubwa zaidi. Amewasihi vijana wajipange kadri iwezekanavyo kupata ajira za kudumu na kumaliza changamoto hiyo. Ametoa kauli hiyo leo Oktoba mosi, katika viwanja vya Nyarugusu Pangawe wakati Akizungumza na makundi…

Read More

Jinsi adhabu ya kifo kwa Kabila ilivyo ngumu

Dar es Salaam. Licha ya Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kutoa hukumu ya kifo dhidi ya Rais wa zamani, Joseph Kabila, bado utekelezaji wake umeonekana kuwa mgumu kwa kuwa hadi sasa haijafahamika alipo au anaishi wapi. Kabila, aliyeongoza DRC kuanzia mwaka 2001 hadi 2019, tangu afunguliwe kesi hiyo Julai 25,…

Read More

Kiungo Fountain Gate afichua kinachowaangusha Ligi Kuu

KIUNGO mkabaji wa Fountain Gate, Abdallah Kulandana amesema licha ya kuanza vibaya msimu wakifungwa mechi zote tatu anaamini wana timu bora ila kinachowaangusha ni uchache wa wachezaji. Fountain Gate ambayo imeanza msimu na wachezaji 14 imecheza mechi tatu na kuambulia vipigo zote ikianza na Mbeya City ikachapwa bao 1-0, Simba ikalala 3-0 na Mtibwa Sugar…

Read More

Kipigo chamzindua Kocha Mashujaa FC

BAADA ya Mashujaa kuchapwa bao 1-0 juzi na Singida Black Stars, kocha Salum Mayanga amesema anahitaji muda wa kutengeneza balansi maeneo yote mawili kwa maana ya kujilinda na kushambulia. Kichapo hicho ni cha kwanza kwa timu hiyo msimu huu Ligi Kuu Bara baada ya kuanza na sare ya bao 1-1 dhidi ya JKT Tanzania Septemba…

Read More

Dereva ajali ya Noah iliyoua sita azikwa Moshi

Moshi. Dereva wa gari aina ya Toyota Noah lililopata ajali wakati likitoka harusini na kusababisha vifo vya watu sita wakiwemo abiria na dereva mwenyewe, ameagwa na kuzikwa nyumbani kwao, Moshi. Ajali hiyo ilitokea Jumapili, Septemba 28, 2025, katika eneo la Njiapanda, Moshi, baada ya gari dogo aina ya Toyota Noah, walilokuwa wakisafiria kutoka harusini mkoani…

Read More

Gamondi aanza kunogewa Singida Black Stars

WAKATI timu inajiandaa na kusherehekea ubingwa wa mashindano ya Kanda ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kocha mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema bado wana kazi kubwa ya kufanya kuendeleza ushindani. Ligi Kuu Bara inatarajia kusimama kwa muda wa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa, huku timu hiyo ikiwa inaongoza msimamo baada ya…

Read More

ISLANDS OF PEACE YAZINDUA MRADI WA “AGRO KILIMO” KUWEZESHA VITUO VYA MAFUNZO YA KILIMO NCHINI

Farida Mangube, Morogoro Shiriki la kimataifa lisilo la Kiserikali la Islands of Peace Tanzania wameeleza mpango wa kuongoza mageuzi makubwa kwenye sekta ya Kilimo kwa kuviwezesha vituo mbalimbali vinavyotumika kutoa mafunzo ya mbinu bora za kilimo kwa wakulima kupitia mradi wake wa AGRO KILIMO uliopangwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka miwili. Akizindua mradi huo, Balozi…

Read More