COSTECH YASISITIZA USHIRIKIANO NA VYOMBO VYA HABARI KUSAMBAZA TAARIFA ZA KISAYANSI
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dkt Amos Nungu akizungumza Septemba 30, 2025 katika Media Café iliyofanyika jijini Dar es Salaam kwaajili ya kubadilishana uzoefu kati ya wanahabari na Wanasayansi. Na Avila Kakingo, Michuzi Tv. TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa karibu kati yake…