Biashara ya Mitumba Yadorora Dar es Salaam

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Baadhi ya wafanyabiashara wa nguo za mitumba jijini Dar es Salaam wamesema biashara hiyo imekuwa ngumu zaidi katika kipindi cha hivi karibuni, hali inayosababisha kushuka kwa mauzo na kuathiri kipato cha familia nyingi zinazotegemea sekta hiyo. Wakizungumza na Michuzi Blog, wafanyabiashara hao wamesema changamoto kubwa inayowakabili ni kupungua kwa mizigo…

Read More

Siku kumi na nne kumbeba Maximo KMC FC

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema atatumia wiki mbili za mapumziko kusawazisha upungufu uliopo kwenye kikosi cha timu hiyo kabla ya kurudi Oktoba 18 wakiikaribisha Mbeya City. Ligi Kuu Bara inatarajia kusimama kwa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa kwa timu za taifa, huku timu hiyo ikirudi mapumziko ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mechi…

Read More

Mshindi wa zawadi kubwa kupitia kampeni ya Kidigitali ya Bank of Africa azawadiwa shilingi milioni 5

Mteja wa Bank of Africa-Tanzania (BOA),Bw.Dolvin Salvatory Olomi, kutoka Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro,amebahatika kuibuka mshindi wa jumla wa shilingi milioni 5 kupitia kampeni iliyomalizika iitwayo “Miamala ni Fursa.” Kampeni hiyo, iliyoanza Juni hadi Septemba 2025, iliwezesha zaidi ya washindi 60 nchi nzima kujinyakulia zawadi, huku wateja wakipata zawadi za kila wiki za Shilingi 50,000 kwa…

Read More

Viongozi watano Chadema Mwanza wakamatwa, sababu zatajwa

Mwanza. ‎Makada watano wa Chama cha Demokrasia  na Maendeleo (Chadema) wamekamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kuchana mabango ya wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM). ‎Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa amesema  makada hao walikamatwa Septemba 30, 2025 saa 8:00 mchana katika maeneo tofauti jijini Mwanza‎, wakiendelea kuratibu mipango…

Read More

Zima, waka ya umeme yapata mwarobaini Zanzibar

Unguja. Tatizo la zima, washa na umeme mdogo Zanzibar sasa limepata mwarobaini baada ya kuzinduliwa mradi wa uimarishaji wa upotevu wa umeme katika miundombinu ambao unatajwa kudhibiti changamoto hiyo. Zanzibar inapokea umeme kupitia gridi ya Taifa kutoka Tanzania bara kwa msongo wa kilovoti 132 (Unguja) na kilovoti 33 (Pemba), hata hivyo zilikuwa hazipokewi kwa kiwango…

Read More

DK.SAMIA :SERIKALI IKO MBIONI KUKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI LIGANGA NA MCHUCHUMA

*Agusia ujenzi wa reli ya kisasa kutoka Tanga ,Moshi ,Arusha hadi Musoma  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kilimanjaro MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Serikali iko mbioni kukamilisha mazungumzo kuanza utekelezaji wa mradi wa Liganga na Mchuchuma ambao unahusisha uchimbaji wa madini ya chuma na makaa ya mawe. Akizungumza…

Read More

DK.SAMIA AELEZA SERIKALI ILIVYOFANIKIWA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA KILIMANJARO

*Akinamama wanaokwenda kujifungua hospitali ya Mawenzi sasa imefikia 328,502  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kilimanjaro MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Serikali katika mitano iliyopita imefanya maboresho makubwa katika sekta ya afya mkoani Kilimanjaro ikiweko maboresho makubwa katika hospitali ya Mawenzi. Amesema kwamba kutokana na maboresho yaliyofanywa na serikali katika afya imewezesha…

Read More