KAMPUNI YA NETWORK YASHIRIKIANA NA FLYDUBAI KUZINDUA MALIPO KWA NJIA YA SIMU KWA WATEJA WA TANZANIA

Wasafiri wa ndege nchini Tanzania sasa wanaweza kufurahia urahisi wa kulipia tiketi zao kupitia simu za mkononi, kufuatia makubaliano kati ya Shirika la Ndege la Dubai flydubai na Kampuni ya Network. Ushirikiano huu utarahisisha malipo ya tiketi kwa wateja huku ukikuza zaidi matumizi ya malipo ya simu nchini Tanzania na katika ukanda wa Afrika Mashariki….

Read More

WAWEKEZAJI MASOKO YA HISIA WAISHIO NJE YA NCHI KUANZA KUSIKILIZA MASHAURI YA KISHERIA KWA NJIA YA MTANDAO

Na Mwandishi Wetu WAWEKEZAJI wa soko la hisa wanaoishi nje ya nchi hivi karibuni wataweza kushiriki kwenye mashauri ya kisheria bila kufika mahakamani,kutokana na kukamilika kwa mfumo mpya wa kusikiliza mashauri kwa njia ya mtandao wa Baraza la Masoko Mitaji uitwao Visual Hearing System. Mfumo huo wa kidijitali, ambao umekamilika kwa asilimia 90 na unatarajiwa…

Read More

ATCL yatangaza ajira 173 | Mwananchi

Dar es Salaam. Katika hatua za kutanua wigo wa utoaji huduma kwenye sekta ya anga Shirika la Ndege la Taifa la Tanzania, (ATCL) limetangaza nafasi za ajira 173. Shirika hilo linalomilikiwa na Serikali linatafuta marubani wapya, wahudumu wa ndege, na wafanyakazi wa ardhini kama sehemu ya utekelezaji wa mpango mkakati wa miaka mitano (2022/23–2026/27). Mpango…

Read More

Samatta, Msuva watemwa Taifa Stars, mabeki watawala

Wachezaji wa nafasi ya beki wameitwa kwa idadi kubwa kulinganisha na wa nafasi nyingine katika kikosi cha taimu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachojiandaa na mechi ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Zambia, Oktoba 8 mwaka huu. Katika kikosi kilichotangzwa jana, mabeki walioitwa ni 10, viungo saba, washambuliaji sita na makipa watatu….

Read More