Usiku wa Kulipiza Kisasi!! – Global Publishers

Ni usiku wa moto barani Ulaya. Mabingwa watetezi PSG wanatua Camp Nou, uwanja ambao Barcelona hawajapoteza mechi ya UCL msimu uliopita. Barca wakiwa na Lewandowski na kijana hatari Lamine Yamal wanaamini leo ni siku ya kulipiza kisasi baada ya kupokea kichapo cha 4-1 misimu miwili iliyopita kutoka kwa PSG pamoja na kutupwa…

Read More

Dorcas wa Chaumma anavyosaka kura kaya kwa kaya

Dar es Salaam. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Dorcas Francis jana Jumanne Septemba 30, 2025 ameendeleza na kampeni zake kwa mtindo wa ziara za kaya kwa kaya na kutembelea maeneo yenye mikusanyiko ya wananchi, akiahidi aina mpya ya uongozi utakaowashirikisha wakazi wa jimbo hilo moja kwa moja…

Read More

Simba, Azam zinavyopambana kuukwepa mtego wa Yanga

KILICHOTOKEA jana Septemba 30, 2035 kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, Yanga ikibanwa na Mbeya City katika mechi ya Ligi Kuu Bara, wakubwa wengine hawataki kukiona kikiwatokea leo. Katika kuukwepa mtego huo wa Yanga kudondosha pointi mapema, Simba na Azam leo Oktoba 1, 2025 zina vibarua kwenye viwanja tofauti ikiwa ni mwendelezo wa Ligi Kuu…

Read More

Safari ya 50/50 inabana, inaachia

Dar es Salaam. Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa na uwakilishi wa wanawake 558, walioteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kugombea ubunge wa majimbo, kupitia vyama vya siasa 18. Idadi hiyo ni sawa na asilimia 32.17 ya wagombea wote 1,735 wa ubunge wa majimbo walioteuliwa na INEC. Kwa maneno mengine, katika kila…

Read More