Fyatu kuandamana kuhujumiwa PhD yake

Si juzi viongozi wake wakapiga marufuku tulio na PhD za heshima, kununua, kughushi, na makandokando mengine kutozitumia. Fyatu kama mimi mwenye PhD magunia na uprofesa vya heshima, nikienda kule nikaitwa Daktari au Profesa Emeritus, nafunguliwa mashitaka ya kuhujumu na kudhalilisha elimu na shahada. Nani anazidhalilisha kati ya wanaoziuza au kuzigawa kwa kisingizio cha heshima aka…

Read More

WIZARA YA UJENZI, TANROADS, POLISI WAKAGUA MAENEO YENYE AJALI ZA MARA KWA MARA KATIKA MTANDAO WA BARABARA NCHINI

:::::::: Wizara ya Ujenzi kupitia Kitengo cha Usalama na Mazingira kinaendelea na utekelezaji wa ukaguzi wa maeneo hatarishi katika mtandao wa Barabara kuu nchini. Aidha kwa sasa ukaguzi huo unafanyika katika shoroba ya TANZAM inayoanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam hadi Mkoani Songwe kupitia Morogoro (Mikumi) na baadaye katika shoroba zingine Ukaguzi huo unahusisha…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Waumbueni wanasiasa wenye njaa

Pesa huwa haitangazwi bali inajitangaza. Mtu yeyote anayeranda barabarani kwa majigambo kuwa na pesa, huwa hana kabisa au anazo za kawaida. Watu wenye pesa za kufurika hujificha kwani zinawakera. Katika nchi kama ya kwetu, utaamshwa kila alfajiri na ndugu, jamaa, majirani na wengine usiowajua. Kila mmoja atakuwa na mahitaji anayoamini kuwa wewe una uwezo wa…

Read More

Usiku wa Mabingwa Ulaya Kumwaga Maokoto Ya Meridianbet

TUNAUMALIZA mwezi kwa joto la soka, na usiku wa leo kwa soka la barani Ulaya ni burudani, ushindani, na bashiri zenye thamani kupitia Meridianbet. Raundi ya pili ya UEFA Champions League inatua kwa kishindo, huku timu 18 zikisaka alama muhimu kuelekea hatua ya mtoano. Baada ya kipigo kizito kutoka kwa PSG, Atalanta wanarejea nyumbani wakiwa…

Read More

Kutoka kwa ukataji miti hadi chakula cha chini, hatua ya hali ya hewa huanza na mbegu-maswala ya ulimwengu

Marceline, mkulima kutoka Ushirika wa Gwiza wilayani Rwamagana, Rwanda, anaonyesha vitanda vyake vya kabichi iliyopandwa mpya. Mikopo: ISF/Henry Joel Maoni na Michael Keller (New York) Jumanne, Septemba 30, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Michael Keller ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mbegu za Kimataifa New YORK, Septemba 30 (IPS) – Unapofikiria juu ya hatua…

Read More