Tumia mbinu hizi kuzuia wivu, migogoro ya watoto

Uhusiano mzuri kati ya ndugu, ni msingi muhimu wa amani na umoja katika familia. Watoto wanaokua katika mazingira yenye upendo na mshikamano huwa na uwezekano mkubwa wa kuwa watu wenye huruma, uvumilivu na heshima wanapokuwa watu wazima. Hata hivyo, wivu na migogoro kati ya ndugu ni mambo ya kawaida yanayotokea katika familia nyingi, hasa pale…

Read More

Beki Simba alivyoikataa jezi ya Tshabalala

BEKI wa Simba, Antony Mligo ametaja sababu ya kukwepa kuvaa jezi namba 15 na kuchukua namba tano Msimbazi huku akimtaja nahodha wa zamani wa timu hiyo, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’. Wakati huohuo ameeleza kuwa hakuna mtu wa kuzuia mafanikio ya timu hiyo kutinga hatua ya makundi kuelekea mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi…

Read More

Mtoto wa Mjini – 14

HISIA zikawazidi kuwapanda, wawili hao walikuwa kama vile wako katika dunia nyingine. Kila mmoja wao alikuwa na shauku na mwenzake, wakaoneshana ufundi zaidi wa kupandishana hisia zao, aliyepagawa zaidi alikuwa ni Linnie ambaye alivutiwa zaidi na joto la mwili alilokuwa nalo Muddy.Mwili wa mwanaume huyo ulikuwa na joto kali na kumfanya Linnie kuhisi faraja kiasi…

Read More

Wanawake wasivyopenda kuolewa na wanaume aina hii

Wanawake wanaogopa sana kuolewa na watoto wa mama au labda tuseme wanawake hawapendi kabisa kuwa uhusiano na watoto wa mama. Mtoto wa mama ni mwanaume ambaye yupo karibu sana na mama yake kiasi kwamba licha ya kuwa mtu wazima lakini bado anataka ule uhusiano na mama yake uwe kama ilivyokuwa miaka ya nyuma alipokuwa mdogo…

Read More

CCM KINAKWENDA KUIFUNGUA RUFIJI KWA KUKAMILISHA BARABARA, MADARAJA- MCHENGERWA

Na Yohana Kidaga- Ngorongo, Rufiji Mgombea wa Ubunge jimbo la Rufiji, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema endapo wananchi watampa ridhaa ya kumchagua tena katika kipindi atahakikisha anaiomba Serikali iweze kukamilisha ujenzi wa barabara ya kutoka Mkongo, Ngorongo hadi Ikwiriri kama ilivyoainishwa kwenye Ilani ya CCM ili kuifungua Wilaya ya Rufiji na mikoa mbalimbali ya Tanzania kwa…

Read More