KMKM yapigwa 9-0, Azam FC ikitinga makundi CAF
AZAM FC inayonolewa na kocha Florent Ibengé, imetinga hatua ya makundi kwa kishindo, baada ya kuifunga KMKM kwa jumla ya mabao 9-0, ugenini na nyumbani.
AZAM FC inayonolewa na kocha Florent Ibengé, imetinga hatua ya makundi kwa kishindo, baada ya kuifunga KMKM kwa jumla ya mabao 9-0, ugenini na nyumbani.
*Ujenzi wa madarasa mpya na maboresho ya miundombinu ya usafi yatasaidia zaidi ya wanafunzi 1,000 Babati SERIKALI ya Japani kupitia mpango wake wa ruzuku unaojulikana kama Grant Assistance for Grassroots Human Security Projects (GGHSP) imejitolea kutoa hadi Dola za Marekani 109,203 (takriban TSh 275 milioni) kusaidia ujenzi wa nyumba ya madarasa pamoja na maboresho ya…
Unguja. Wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikielekea ukingoni, vyama vya siasa vimeeleza namna vilivyoendesha kampeni na mipango ya siku za lala salama kuhakikisha vinaibuka kidedea. Hata hivyo, licha ya kuhakikisha vinakamilisha kampeni, vimeeleza changamoto kubwa viliyokutana nayo kuwa ni ukata, uliosababisha vishindwe kufanya mikutano mingi ya hadhara. Kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Uchaguzi…
Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Songwe Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekabidhi pikipiki nane kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Songwe ili kubotesha mazingira ya kazi na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za kijamii kwa wananchi. Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika leo tarehe 23 Oktoba, 2025 katika Ofisi…
Mbeya. Mgombea ubunge wa Jimbo la Uyole, Dk Tulia Ackson, ameanza kampeni za nyumba kwa nyumba na mtaa kwa mtaa kuhamasisha wananchi kujitokeza kupiga kura kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, kwa nafasi ya Rais, wabunge na madiwani. Mbali na hatua hiyo, amekuwa akitembea akiwa na bango lenye picha…
MASHABIKI wa Simba tabasamu limeanza kurudi kwenye nyuso zao kutokana na mwenendo wa kikosi hicho katika mashindano mbalimbali. Wakati hayo yakiendelea kocha wao wa zamani amewatumia salamu akisema meneja mpya, Dimitar Pantev ana kitu cha maana anachokiwekeza kikosini hivyo waishi naye vizuri. Unaweza kusema Pantev ameshusha presha Simba baada ya kuiongoza kushinda kibabe ugenini kwa…
Dar es Salaam. Wakati Jumuiya ya Wataalamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa) ikitoa mapendekezo takribani 10 ya kufanyiwa kazi na Serikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, chuo hicho kimesema hakihusiki na tamko hilo. Udasa kupitia kwa Mwenyekiti wake, Dk Elgidius Ichumbaki katika taarifa kwa umma iliyotolewa Oktoba 23, 2025,…
JE unajua kuwa siku ya leo unaweza ukabashiri na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet na ukaibuka na kitita cha mkwanja?. Mechi kibao kuchezwa siku ya leo hivyo tengeneza jamvi lako la uhakika hapa. EPL kule Uingereza itaendelea kwa mtanange mmoja wa kukata na shoka kati ya Leeds United vs West Ham United huku mara yao…
MASHABIKI wa Simba tabasamu limeanza kurudi kwenye nyuso zao kutokana na mwenendo wa kikosi hicho katika mashindano mbalimbali. Wakati hayo yakiendelea kocha wao wa zamani amewatumia salamu akisema meneja mpya, Dimitar Pantev ana kitu cha maana anachokiwekeza kikosini hivyo waishi naye vizuri. Unaweza kusema Pantev ameshusha presha Simba baada ya kuiongoza kushinda kibabe ugenini kwa…
Mwanza. Mgombea urais wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias, amesema endapo chama chake kitapata ridhaa ya kuongoza nchi, kitasimika satelaiti angani kwa ajili ya kudhibiti uhalifu unaofanyika katika maziwa ya Victoria na Tanganyika, pamoja na kulinda mipaka ya nchi kwa ujumla. Ahadi hiyo ameitoa Oktoba 23, 2025 alipofanya mikutano ya hadhara…