Watu wasiojulikana wachoma nyumba ya Polisi Songwe

Songwe. Watu wasiojulikana wamechoma moto nyumba ya Polisi Kata wa Chitete iliyopo Kijiji cha Ikumbilo, Wilaya ya Ileje mkoani Songwe.  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Augostino Senga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa lilitokea usiku wa Oktoba 22, 2025 wakati askari huyo akiwa kwenye majukumu maalumu. Kamanda Senga amesema nyumba hiyo inamilikiwa…

Read More

Nini kitafuata kwa wenyeviti waliogombea udiwani

Dar na Pwani. Wakati baadhi ya wenyeviti wa Serikali za mitaa wakijitosa kuwania udiwani kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, mwaka huu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imesema wale watakaochaguliwa kuwa madiwani watalazimika kung’atuka kwenye nafasi za awali. Wenyeviti hao ni wale waliochaguliwa kwenye uchaguzi uliopita wa Serikali za…

Read More

Kushughulikia ushuru uliofichwa wa saratani ya matiti katika visiwa vya Pasifiki – maswala ya ulimwengu

Katika Mkoa wa Hela, katika mambo ya ndani ya mbali ya Bara la PNG, wanawake wa vijijini wangehitaji kusafiri umbali mkubwa kwa barabara au hewa kufikia hospitali ambayo hutoa uchunguzi wa matiti. Mikopo: Catherine Wilson/IPS na Catherine Wilson (Sydney, Australia) Ijumaa, Oktoba 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SYDNEY, Australia, Oktoba 24 (IPS)- Mzigo…

Read More

Lissu, Jamhuri walivyotambiana kesi ya uhaini

‎‎Dar es Salaam. Tundu Lissu, mshtakiwa wa kesi ya uhaini na Jamhuri, kila upande umeutambia mwingine kuhusu hatima ya shauri hilo baada ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kukataa kupokea vielelezo vya upande wa mashtaka. Vielelezo vilivyokataliwa ni flash disk na memory card (vifaa vya kielektroniki vya kuhifadhi kumbukumbu) zilizokuwa na picha mjongeo…

Read More