Mechi za Simba, Yanga ulinzi kuimarishwa Kwa Mkapa

Wakati Yanga na Simba zikitarajia kucheza mechi zao za marudio za mtoano za Ligi ya Mabingwa Afrika kesho na keshokutwa, Jeshi la Polisi limesema litafanya ukaguzi kuhakikisha kuna usalama wa hali ya juu. Katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Malawi Yanga ilichapwa bao 1-0 na Silver Strikers hivyo kesho inatakiwa kupata ushindi mnono ili iweze…

Read More

Tahadhari za kimaadili, kiafya huduma za sauna na spa

Dar es Salaam. Wakati uanzishwaji wa maeneo kwa ajili ya utunzaji wa mwili, afya na mapumziko (sauna na spa) ukiongezeka, angalizo limetolewa kuhusu huduma hizo ikielezwa baadhi hutweza utu, hususani kwa wanawake. Sauna ni chumba maalumu chenye joto kali (kwa kawaida kati ya nyuzijoto sentigredi 70 hadi 100) kinachotumika kwa ajili ya kutoa jasho ili…

Read More

Bondia Mkojani apokewa kwa mbwembwe Zanzibar akirudi na medali

KATIBU Mtendaji Baraza la Taifa la Michezo Zanzibar, Said Kassim Marine, amesema milango ya mchezo wa masumbwi visiwani hapa imefunguka kimataifa, hivyo wanamichezo wanapaswa kuitumia fursa hiyo ipasavyo. Ameyasema hayo jana Oktoba 23, 2025 wakati wa kuwapokea mabondia, Ali Mkojani na Suleiman Mtumwa. Mabondia hao walikwenda Brazil kushindana ambapo Mkojani amerejea na medali ya shaba…

Read More

Mashujaa yapiga mkwara ikiikaribisha Namungo

MASHUJAA imeahidi kufanya vizuri dhidi ya Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma, kesho. Mashujaa imepata matokeo yasiyoridhisha katika mechi zake mbili mfululizo zilizopita ambapo katika mechi moja ilifungwa mabao 2 -1 na Pamba ya Mwanza na kisha kuambulia sare ya bila kufungana na TRA United ya…

Read More

Mtoto wa Mjini – 12

NDANI ya ofisi hiyo, afisa aliyefuatana naye ambaye alijitambulisha kwake kwa jina la Aidan alimkabidhi Muddy kila kitu alichokuwa amekikabidhi kwa maafisa uhamiaji waliomkamata. Muddy aliviangalia vitu alivyokabidhiwa, kila kitu kilikuwepo kasoro kitu kimoja tu ambacho hakuwa amekiona.Wakati akiendelea kupekua vitu vyake, Aidan alimtaka Muddy amfuate hadi katika chumba kingine na walipofika katika chumba hicho, afasi…

Read More

Mechi mbili zijazo ni moto kwa Maximo

MZEE wetu Marcio Maximo aliingia kwa matumaini makubwa ndani ya timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) kama kocha mkuu kwa ajili ya msimu huu. Kwa kumbukumbu za hapa kijiweni, huu ni ujio wa tatu kwa Maximo nchini kwani mara ya kwanza alikuja kuinoa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kisha mara ya pili alikuja…

Read More