Shomari Mbwana: Kutoka beki hadi golikipa

MCHEZO wa mpira wa miguu umekuwa na stori nyingi sana zinazowahusu wachezaji, makocha, mashabiki na hata wamiliki wa timu. Pengine si mara moja umewahi kusikia mchezaji anabadilisha nafasi ya kucheza uwanjani, lakini kila mmoja amekuwa na stori yake ya tofauti. Pale kwenye kikosi cha Mafunzo kinachoshiriki Ligi Kuu Zanzibar, kuna kipa anaitwa Shomari Mbwana. Amezungumza…

Read More

Job awaita mashabiki kwa Mkapa kesho

BAADA ya Yanga kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Silver Strikers Oktoba 18, 2025, beki na nahodha msaidizi wa timu hiyo, Dickson Job amesema hawatakubali unyonge kufungwa tena nyumbani Uwanja wa Benjamin Mkapa, kesho Jumamosi Oktoba 25, 2025. Job amesema mechi hiyo ni ya kurejesha heshima kwa Klabu ya Yanga, kuhakikisha wanapambana ili kuingia hatua…

Read More

Yas yaunga mkono Kilimanjaro Marathon 2026 

Kampuni ya mawasiliano ya Yas imeonesha tena dhamira yake katika kuendeleza michezo na utalii nchini baada ya kushiriki kwenye uzinduzi rasmi wa maandalizi ya Kilimanjaro International Marathon 2026. Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam ukihudhuriwa na wadau mbalimbali wa michezo, wakiwemo waandaaji wa mbio hizo, wadhamini na wanariadha, huku Yas ikithibitisha kuendelea kudhamini mbio…

Read More

Mabedi: Njoo muone, Yanga ipo tayari

KAIMU kocha Mkuu wa Yanga, Patrick Mabedi ambaye ni raia wa Malawi, amesema ushindi dhidi ya Silver Strickers ni muhimu ili kuhakikisha timu inatinga hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF), mwaka huu. Mechi ya ugenini iliyopigwa Oktoba 18 Yanga ilifungwa kwa bao 1-0  dhidi ta Silver timu ilikuwa chini ya Folz kama…

Read More

Kamwe: Mageti kwa Mkapa wazi kwa saa nne pekee

Kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Silver, mageti yatafunguliwa saa 4:00 asubuhi na kufungwa saa 8:30 mchana. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema sababu ya kufungua mageti mapema ni kuepuka msongamano wakati wa kuingia kutokana na kuamua kutoa fulsa kwaashabiki wa timu hiyo kuingia bure. “Tumewasiliana…

Read More

 Mtaalamu wa picha alivyohitimisha ushahidi dhidi ya Lissu

‎Dar es Salaam. Shahidi wa tatu wa upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu jana alihitimisha ushahidi wake katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam huku akisisitiza kuwa hawezi kuandika kila kitu kwenye maelezo yake aliyoandika polisi, kwani kwa kufanya hivyo atakuwa anaandika kitabu au ripoti ya…

Read More

WAKILI MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KUFUNGUA KESI KWA NIABA YA WANANCHI KUHUSU TOZO DARAJA LA KIGAMBONI

  Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mohamed Majaliwa WAKILI wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mohamed Majaliwa amesema kwa niaba ya wananchi wa Kigamboni anakwenda kufungua kesi ya Kikatiba kuomba Mahakama itoe tamko kwamba kulipa tozo la Daraja la Kigamboni ni kinyume cha Katiba. Wakili Majaliwa amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari…

Read More

MOHAMED ABDALLAH: MTAMBILE YAJAA FURAHA NA IMANI KWA CCM

  MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Mtambile, Mkoa wa Kusini Pemba, Mheshimiwa Mohamed Abdallah Kassim, kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kuwa hali ya kisiasa katika jimbo hilo ni ya amani na furaha, kwani ni sherehe za ushindi ndizo zinaendelea, siyo maandamano. Akizungumza katika mwendelezo wa kampeni za CCM zinazoendelea jimboni humo, Mheshimiwa…

Read More