Lissu aomba dhamana, mahakama yamkatalia

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imelikataa ombi la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu la kutaka apewe dhamana. Lissu aliwasilisha hoja hiyo leo Ijumaa, Oktoba 24, 2025 baada ya Jamhuri kuomba kesi iahirishwe kutokana na kutokuwa na shahidi kwa siku ya leo. Awali, Jamhuri katika kesi…

Read More

VIDEO: Lissu alivyofikishwa tena Mahakama Kuu leo

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendelealo (Chadema), Tundu Lissu amefikishwa tena katika Mahakama Kuu leo Oktoba 24, 2025 ikiwa ni mwendelezo wa kesi ya uhaini inayomkabili. Kwa mujibu wa hati ya wito wa kufika mahakamani iliyopelekwa kwa pande zote, kesi hiyo imepangwa kusikilizwa mfululizo kuanzia Oktoba 6, mpaka leo Oktoba 24,…

Read More

Oktoba 29 mapumziko ya kitaifa kwa ajili ya kupiga kura

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza Jumatano Oktoba 29, 2025 kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa ili kuwawezesha Watanzania kushiriki katika shughuli ya kupiga kura. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dk Moses Kusiluka, jana Oktoba 24, 2025, imeeleza kuwa uamuzi huo umetolewa baada ya Tume Huru ya Taifa…

Read More

Iko wapi nchi ya asali na maziwa kwa wastaafu?

Miaka 48 iliyopita wakati tukianza ajira moja kwa moja kutoka shule, mashirika, kampuni za umma na binafsi zilituajiri bila kulazimika kuwa na tochi kutafuta ajira, kama ilivyo sasa, tulikuwa tunaelekea kwenye nchi ya asali na maziwa. Kibubu pekee kilichokuwepo enzi hizo cha akiba ya wafanyakazi cha NPF, kikaanza kutuwekea akiba iliyoikata kutoka kwenye mishahara yetu…

Read More

𝗞𝗔𝗠𝗜𝗦𝗛𝗡𝗔 𝗔𝗜𝗣𝗢𝗡𝗚𝗘𝗭𝗔 𝗡𝗘𝗠𝗖 𝗞𝗪𝗔 𝗨𝗔𝗗𝗜𝗟𝗜𝗙𝗨 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗨𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔

Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro amelipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kuendelea kuonesha uadilifu na uwajibikaji katika kutekeleza majukumu yake ya kusimamia na kuhifadhi mazingira nchini. Akizungumza leo 23 Oktoba, 2025 jijini Dar es Salaam katika ziara yake ya kikazi ofisi za Baraza Dkt….

Read More

Meta Yapanga Kuondoa Wafanyakazi 600 Katika Kitengo cha AI – Global Publishers

Last updated Oct 24, 2025 Kampuni ya Meta, hapo awali inayojulikana kama Facebook, imepanga kuondoa takriban wafanyakazi 600 kutoka katika kitengo chake cha AI, hatua inayolenga kurekebisha muundo wa kazi na kuongeza ufanisi wa timu. Wafanyakazi hao walihusiana na Meta Superintelligence Labs, kitengo kinachojihusisha na utafiti na maendeleo ya mifumo ya akili bandia. Alexandr…

Read More