Athari za mitandao ya kijamii kwa afya ya akili

Dar es Salaam. Watu wengi hivi sasa ni wapekuaji hodari wa mitandao ya kijamii ikiwamo WhatsApp, Instagram, Facebook, TikTok na mitandao mingine. Mwaka 2023 kulikuwa na wastani wa watumiaji bilioni 4.9 wa mitandao ya kijamii ulimwenguni, ikikadiriwa mtu wa kawaida kutumia wastani wa dakika 145 kwenye mitandao hiyo kila siku. Matumizi holela ya mitandao yanaweza kuathiri…

Read More

Siri, makosa upigaji wa chafya

Kupiga chafya ni tendo la kawaida la kibinadamu ambalo huchukuliwa kama jambo la kawaida kiasi kwamba watu wengi hawalipi uzito.  Hata hivyo, nyuma ya tendo hili dogo la kiafya kuna mchakato wa ajabu wa mwili unaotimiza majukumu muhimu ya kinga. Kupitia vyanzo mbalimbali vya kimtandao, makala haya, itaangazia kwa undani siri iliyofichika nyuma ya chafya,…

Read More

Serikali isimamie lebo za lishe kwenye vyakula

Katika muktadha wa ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza kama vile kisukari, shinikizo la damu, unene uliopitiliza na magonjwa ya moyo, Tanzania inakumbwa na changamoto ya kimfumo inayohitaji suluhisho la kitaifa. Moja ya maeneo muhimu ya kuingilia kati ni sekta ya lishe, hasa kwenye udhibiti wa vyakula vilivyofungashwa ambavyo vimekuwa sehemu kubwa ya milo ya Watanzania wengi…

Read More

Haki ya malezi ya mtoto wanandoa wanapotengana

Dar wa Salaam. Lengo kuu la sharia ya Kiislamu ni kutimiza manufaa na kuzuia madhara. Sharia hii tukufu imehakikisha haki za watu binafsi na jamii nzima za kibinadamu.  Miongoni mwa uzuri wa sharia ya Kiislamu ni kulinda haki za wanyonge, ikiwemo makundi maalumu kama watoto.  Kwa ajili yao, Uislamu umeweka kanuni za jumla pamoja na…

Read More

SIENDI BUNGENI KUTAFUTA PESA-LUTANDULA

Watatu kutoka kushoto ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Chato kusini, Paschal Lutandula. ………… CHATO MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chato kusini kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paschal Lutandula, amesema haendi Bungeni kutafuta pesa bali kupata ridhaa ya kuwatumikia wananchi wa Jimbo hilo. Amewataka wamuamini na kukiamini Chama Cha Mapinduzi kuwa kina lengo…

Read More

Kusitisha kwa Gaza dhaifu kunaashiria ‘Jumuiya kubwa lakini ya hatari,’ Mjumbe wa UN aambia Baraza la Usalama – Maswala ya Ulimwenguni

Kusitisha kwa Gaza kunatoa fursa adimu ya kumaliza moja ya awamu ya uharibifu zaidi ya mzozo mpana wa Israeli-Palestina, naibu wa UN wa Mashariki ya Kati aliiambia The Baraza la Usalama Alhamisi. Naibu Mratibu Maalum Ramiz Alakbarov alionya kwamba bila msaada wa kuamua kwa ujenzi na utoaji wa misaada, mkoa huo unahatarisha kurudi kwenye vurugu….

Read More

Gaza inaonyesha ishara dhahiri za kupona kama mashirika ya UN hufanya kazi kukidhi mahitaji ya misaada – maswala ya ulimwengu

Mnamo tarehe 10 Oktoba 2025, maelfu ya familia za Palestina zinatembea kando ya barabara ya pwani kurudi Kaskazini mwa Gaza, huku kukiwa na uharibifu mkubwa wa miundombinu. Mikopo: UNICEF/Mohammed Nateel na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Alhamisi, Oktoba 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Oktoba 23 (IPS) – Tangu tamko la…

Read More

KWAGILWA ATAJA UJENZI MPYA WA SOKO LA CHANIKA AMESEMA STENDI YA KISASA YA GHOROFA CHOGO INAKUJA

  -Asisitiza safari hii maji yakitoka atakwenda Mahakamani kubadilisha Jina lake. -Amtaja Dkt Samia Suluhu uwezeshaji wa Maendeleo Jimboni humo. Na Oscar Assenga, HANDENI MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Handeni Mjini (CCM) Reuben Kwagilwa amesema dhamira ya Serikali ni kulibomoa soko la Chanika wilayani humo na kulijengwa upya ili liwe muonekano na kisasa pamoja na…

Read More