Familia ya Heche yahoji alipo ndugu yao, yatoa siku moja

Tarime. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikihoji alipo Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, John Heche, familia ya kiongozi huyo imetoa siku moja kwa Jeshi la Polisi kueleza alipo ndugu yao kabla hawajaamua kumtafuta wao wenyewe kwa kushirikiana na wananchi. Uamuzi huo umefanywa na familia hiyo kufuatia taarifa kuwa Heche alisafirishwa kutoka Dar…

Read More

Mwalimu: Kapigeni kura mkifikiria mashimo mlioachiwa kwenye migodi yenu

Shinyanga. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia  Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, amewahimiza wakazi wa Shinyanga kujitokeza kupiga kura Oktoba 29, wakikumbuka mashimo yaliyosalia katika migodi yao. Mwalimu ameyasema hayo leo, Alhamisi Oktoba 23, 2025, katika mikutano ya kampeni iliyofanyika kwa nyakati tofauti kwenye majimbo ya Msalala na Itwangi,…

Read More

Sh12 bilioni zatengwa kulinda bayoanwai kwenye misitu nchini

Dar es Salaam. Jumla ya Dola za Marekani milioni 4.94  ambazo ni zaidi ya Sh12 bilioni, zimetengwa kufanikisha mradi jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kulinda bayoanwai. Mradi huo unakwenda kupunguza ukataji na uharibifu wa misitu, kuongeza upatikanaji wa nishati safi ya kupikia na kuimarisha matumizi ya nishati safi katika shughuli za utalii…

Read More

Ajali treni ya SGR ilivyoacha maswali

Dar/mikoani. Ajali ya treni ya SGR iliyotokea mapema leo katika kituo cha Ruvu mkoani Pwani, mbali na kukwamisha safari za abiria kwa muda, imeacha maswali lukuki kuhusu chanzo chake. Treni hiyo iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Salaam, imehama njia kufuatia kile ambacho Shirika la Reli Tanzania (TRC) limekitaja “sababu za kiuendeshaji” kuwa ndiyo chanzo cha…

Read More