Khambay anatosha Babati mjini – Sumaye

Babati. Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewasihi wakazi wa mjini Babati mkoani Manyara, kumpa kura za ndiyo mgombea ubunge kupitia CCM, Emmanuel Khambay kwani atayafikia makundi yote. Sumaye ameyasema hayo kwenye kata ya Bonga mjini Babati wakati akiwanadi wagombea wa CCM akiwamo mgombea urais, Samia Suluhu Hassan, ubunge na udiwani. Amesema mgombea ubunge kupitia CCM…

Read More

Profesa Mkenda amwombea kura Rais Samia akisema ameleta mageuzi makubwa ya elimu nchini

Rombo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Profesa Adolf Mkenda, amesema kuwa mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, anastahili kuendelea kuiongoza nchi kutokana na mafanikio na mageuzi makubwa anayoyaendeleza katika sekta ya elimu nchini. Akizungumza leo Oktoba 23, 2025 katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Zahanati ya…

Read More

Droo ya makundi CAF kuchezeshwa Novemba

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limetangaza Novemba 3, 2025, itachezeshwa droo ya upangaji wa makundi kwa msimu wa 2025-2026 katika michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho. Droo hiyo imepangwa kufanyika Johannesburg nchini Afrika Kusini ambapo ile ya Kombe la Shirikisho itaanza saa 8 mchana, wakati Ligi ya Mabingwa ikiwa saa…

Read More

OMO aahidi kujenga chuo kikuu cha Maalim Seif Pemba

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Othman Masoud amesema atamuenzi Maalim Seif Sharif Hamad kwa namna anavyostahiki ikiwemo kujenga chuo kikuu cha mwanasiasa huyo, katika mji wa Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba. Maalim Seif ambaye alikuwa mwanasiasa mkongwe visiwani humo, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, alifariki…

Read More

Wanariadha wa Tanzania warejea kwa furaha baada ya kufanya kweli Nagai City Marathon

WANARIADHA sita walioiwakilisha Tanzania katika mbio za Nagai City Marathon zilizofanyika Japan, wamerejea nchini kwa furaha baada ya kufanya kweli. Mbio hizo zilifanyika Oktoba 19, 2025 katika mji wa Nagai, ambapo Tanzania iling’ara katika mbio zote ambazo ilishiriki marathoni Kilomita 42 na nusu marathoni Kilomita 21, Wanaume na Wanawake. Nyota hao walifanya kweli kwa kumaliza…

Read More

Dk Mwinyi afunga kampeni Pemba akitaja dhamira ya CCM kulinda tunu za Taifa

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amefunga kampeni kisiwani Pemba akitaja mambo watakayoyaendeleza ikiwa ni pamoja na maridhiano na kudumisha amani. Amewataka wananchi wasibweteke badala yake wajitokeze kwa wingi kukupigia kura chama hicho ili kuendeleza tunu za Taifa, ikiwemo amani, umoja na mshikamano kwa madai kuwa hakuna chama kingine…

Read More