Dkt. Abbasi, Mwakilishi Mkazi UNDP Wazindua Uboreshaji Misitu Nchini

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imezindua rasmi utekelezaji wa mradi mkubwa wa kimataifa wa mazingira ujulikanao kama “Mbinu Chanya na Jumuishi za Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi na Kulinda Bayoanuai” (Integrated Net-Zero Nature-Positive Solutions for Climate and Biodiversity Protection), unaolenga kuendeleza sekta ya misitu kwa lengo la kuinua maisha ya watu. Akizungumza leo…

Read More

Samia aahidi kuijenga Tanzania jumuishi

Dar es Salaam.  Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameeleza namna Serikali yake ilivyojipanga kuijenga Tanzania jumuishi huku akiwataka vijana nchini wasidanganyike kuharibu amani na utulivu. Samia amesema hayo leo Alhamisi Oktoba 23,2025 wakati akizungumza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Tanesco Buza, Temeke jijini Dar…

Read More

NAISAE YONA AKABIDHIWA GARI BAADA YA KUTWAA TAJI LA MISS UNIVERSE TANZANIA

Mshindi wa Mashindano ya @missuniversetanzania mwaka 2025 mwanadada @naisae.yona, amekabidhiwa rasmi gari jipya aina ya Hyundai kutoka kwa @hyundai_tanzania lenye thamani ya shilingi milioni 49. Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika leo Oktoba 22, 2025 ambapo @naisae.yona ametajwa kuwa si mrembo tu, bali ni kielelezo cha kizazi kipya cha wanawake wa Kitanzania wenye nidhamu, maono, ujasiri…

Read More

Uwanja wa Mao Zanzibar ni vituko tu, mamlaka yatoa ufafanuzi

VITUKO haviishi kwenye Ligi Kuu Soka Zanzibar (ZPL), safari hii, Mwanaspoti imeshuhudia kubwa zaidi wakati wa mechi za ligi hiyo zikiendelea kwenye Viwanja vya Mao, Unguja. Achana na vurugu zilizokuwa zikiibuka kwa kasi msimu uliopita kwa waamuzi kushambuliwa na mashabiki wakati mwingine hata viongozi ambapo baadaye Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) likaipiga faini…

Read More

USAFIRI WA SGR DAR ES SALAAM- DODOMA WAREJEA, TRC YAOMBA RADHI KWA USUMBUFU

::::::::::::: Shirika la reli Tanzania limeufahamisha umma wa Watanzania kuwa huduma za usafiri wa treni za SGR zimerejea na kuendelea kama kawaida, likiomba radhi kwa wateja wake kwa usumbufu uliojitokeza, shirika likiwashukuru pia Wananchi kwa uvumilivu wao katika kipindi ambacho huduma za usafiri huo zilipotatizika kutokana na hitilafu iliyotokea mapema leo Alhamisi Oktoba 23, 2025….

Read More

Hatutaki visingizio timu nne ziingie makundi

WIKIENDI hii klabu za Tanzania zitakuwa na kibarua cha kuhakikisha nchi inaandika historia ya kuingiza klabu nne katika mashindano ya Klabu Afrika msimu huu. Kwa kumbukumbu tulizonazo hapa kijiweni, hakuna nchi yoyote kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati ambayo imewahi kuingiza timu nne kwa mpigo katika hatua ya makundi ya mashindano ya klabu…

Read More

Huu ndiyo mtihani pekee mzito kwa Pantev Simba

WAKATI huu ukiwa ni msimu wa 14 kwa wekundu wa Msimbazi, Simba kucheza michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, meneja Dimitar Pantev pamoja na benchi lake la ufundi, watakuwa na kazi moja tu Jumapili Oktoba 26, 2025 kuifanya timu hiyo kuingia anga za Espérance, Al Ahly na Mamelodi Sundowns. Kivipi? Al Ahly ya Misri ambao…

Read More

Azam FC, KMKM mechi ya historia mpya CAF

HISTORIA mpya itaandikwa kesho kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam, wakati matajiri wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC itakapocheza dhidi ya Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo, Mabaharia wa KMKM kutokea visiwani Zanzibar. Mechi hiyo itakayopigwa saa 11:00 jioni, ni ya raundi ya pili Kombe la Shirikisho Afrika na Azam…

Read More