Ligi ya Taifa Kikapu itakuwa ni vita

TIMU 16 za wanaume na 12 za wanawake zitashiriki Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) itakayoanza Novemba 17, mwaka huu huku ikitarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ligi hiyo ambayo itapigwa kwenye Uwanja wa Chinangali, Dododma ndiyo inayotoa mwakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa na yamekuwa na ushindani mkubwa kila mwaka. Kamishina wa…

Read More

MRADI WA TAZA KUFUNGUA SOKO JIPYA LA BIASHARA YA UMEME AFRIKA.

………………………… 📌 Wafikia asilimia 83 📌Dkt. Mataragio akagua mradi na kutoa maelekezo TANESCO 📌 TAZA kuunganisha Mkoa wa Rukwa na gridi ya Taifa 📌 Kuimarisha upatikanaji umeme Mikoa ya Kusini mwa Tanzania Mbeya Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Iringa hadi Zambia kupitia Tunduma (TAZA)…

Read More

Andabwile asiiangushe Yanga na Folz

YANGA ilipoamua kumsajili Aziz Andabwile kutoka Singida Fountain Gate kuna kitu ambacho ilikiona kwa mchezaji huyo na ikaamini atatoa mchango kwenye kikosi chake. Sisi hapa kijiweni tunaamini hizi timu zetu kubwa hapa nchini huwa hazisajili mchezaji mzawa ambaye hazijaona kitu ndani yake maana hawa wa kwetu ni rahisi kuwafuatilia ndani na nje ya uwanja. Na…

Read More

Droo ya makundi CAF kuchezeshwa Novemba 3

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limetangaza Novemba 3, 2025, itachezeshwa droo ya upangaji wa makundi kwa msimu wa 2025-2026 katika michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho. Droo hiyo imepangwa kufanyika Johannesburg nchini Afrika Kusini ambapo ile ya Kombe la Shirikisho itaanza saa 8 mchana, wakati Ligi ya Mabingwa ikiwa saa…

Read More

Vibali vya biashara kilio kipya kwa wafanyabiashara mipakani

Arusha. Vibali na vyeti vya biashara vimekuwa kilio kipya kwa wafanyabiashara wa mipakani katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wakilalamikia urasimu, gharama kubwa, na ukaguzi wa mara kwa mara unaochelewesha bidhaa kufika sokoni. Sambamba na hilo vituo vingi vya ukaguzi wa mizigo barabarani husababisha hasara, hasa kwa bidhaa zinazoharibika haraka kama matunda na mbogamboga. Kilio…

Read More

Win&Go Kukurudishia 10% Ya Hasara Kwa Kila Dau

HUU si mwezi wa kawaida, ni mwezi wa pesa, ushindi na burudani isiyo na kifani. Ukiwa na Meridianbet, kila siku ni nafasi ya kugeuza dau dogo kuwa faida kubwa. Na sasa, kampuni hii kinara wa ubashiri nchini kupitia mchezo wa Win&Go, kila mchezaji una nafasi ya kurudisha sehemu ya dau lako lililopotea kwa 10%. Ndiyo,…

Read More