MGOMBEA UBUNGE CCM KUJENGA GHOROFA SHULE ALIYOSOMA

Wa pili Kushoto ni Mgombea Udiwani wa kata ya Bwera,Josephat Manyenye akiwa na Mgombea Ubunge Jimbo la Chato kusini, Paschal Lutandula (wa tatu kutoka Kushoto) ::::::::::: MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chato kusini, Paschal Lutandula, ameahidi kujenga madarasa na Ofisi ya walimu kwenye shule ya msingi aliyosomea. Amesema shule ya msingi Igando ndiyo iliyomsaidia kupata maarifa…

Read More

INEC yatoa maelekezo ya kisera kuelekea uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa maelekezo ya kisera katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 yanayohusisha utambulisho wa mpigakura. Maelekezo hayo yametolewa kwa  kuzingatia masharti ya kifungu cha 4, 19(3), 14(2), 84(3)(a) na (b) na 164 vya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya…

Read More

Nahdi ajiona bingwa Guru Nanak

DEREVA chipukizi kutoka Morogoro, Waleed Nahdi ambaye amekuwa tishio jipya kwenye mbio za magari kuwania ubingwa wa taifa mwaka huu, amesema anaamini atashinda za Guru Nanak, zitakazofanyika Novemba 8, 2025 katika eneo la Makuyuni, Magharibi mwa Jiji la Arusha. Akiwa na pointi 80 kibindoni, Nahdi yuko nafasi ya tatu nyuma ya mabingwa wazoefu, Randeep Singh…

Read More

Pointi nne zampa mzuka Kocha Fountain Gate

KOCHA wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema kupata pointi nne kati ya sita katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara na kikosi hicho, zimeamsha morali kubwa kwa wachezaji kupambana zaidi, baada ya kuanza vibaya tangu msimu umeanza. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya timu hiyo kulazimishwa sare juzi ya bao 1-1 dhidi ya…

Read More

SanlamAllianz Yazindua Rasmi Chapa Yake Tanzania

Sanlam na Allianz, makampuni mashuhuri katika sekta ya bima ambao waliungana pamoja mwaka 2023 kuunda kampuni kubwa zaidi barani Afrika ya huduma za kifedha zisizo za benki, SanlamAllianz, wamezindua rasmi chapa ya SanlamAllianz nchini Tanzania leo.  Uzinduzi umefanyika katika Hoteli ya Johari Rotana, Dar es Salaam.Uanzishwaji wa SanlamAllianz General Insurance Tanzania Ltd na SanlamAllianz Life…

Read More

TRC yarejesha safari za SGR

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limerejesha safari za treni za umeme za SGR, baada ya kusitisha kwa muda leo. Hatua hiyo imekuja baada ya matengenezo ya muda mfupi yaliyofanyika, kutokana na treni ya Electric Multiple Unit – EMU maarufu mchongoko iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma leo Alhamisi Oktoba 23, 2025…

Read More

Wanawake wahamasishwa kupiga kura | Mwananchi

Dar es Salaam. Muunganiko wa asasi za wanawake umewahimiza wanawake nchini kujitokeza kupigakura Oktoba 29 mwaka huu, kwa kuwa ni wajibu wa Kikatiba unaotoa fursa ya kuchagua viongozi watakaosimamia masilahi yao. Kupitia tamko kwa vyombo vya habari asasi hizo zimeitaka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na vyama vya siasa kuhakikisha mazingira ya uchaguzi…

Read More

Mahakama yakubali pingamizi la pili la Lissu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeikataa ripoti ya uchunguzi wa uhalisia wa picha mjongeo (video clip) ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, anayekabiliwa na kesi ya uhaini, yenye maudhui yanayodaiwa kuwa ya uhaini. Upande wa mashtaka katika kesi hiyo jana Jumatano, Oktoba 22, 2025 kupitia shahidi…

Read More

Exim yakarabati jengo la watoto na vijana Muhimbili

Dar es Salaam. Benki ya Exim Tanzania imekabidhi jengo lililokarabatiwa la Kitengo cha Afya ya Akili kwa Watoto na Vijana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ikiwa ni jitihada za kuboresha upatikanaji wa huduma za afya na kuunga mkono ustawi wa afya ya akili nchini. Ukarabati huo uliofanywa chini ya mpango wa uwekezaji wa…

Read More