TRC yasitisha safari za SGR kwa muda

Dodoma. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema hakuna treni itakayoruhusiwa kuanza safari kwa sasa, mpaka pale watakapotoa taarifa mpya. Hatua hiyo imefuata baada ya treni ya Electric Multiple Unit – EMU maarufu treni ya mchongoko iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma leo Alhamisi Oktoba 23, 2025 kupata ajali katika kituo cha Ruvu mkoani Pwani….

Read More

Ili kuzidisha mafuta endelevu – maswala ya ulimwengu

Brazil imekuwa mtayarishaji mkubwa wa ethanol, biofueli ambayo inashindana na petroli. Utunzaji wa miwa huunda mazingira ya kupendeza katika jimbo la kusini la São Paulo na katika mkoa wa kati wa magharibi, lakini husaidia kuachana na usafirishaji nchini. Mikopo: Mario Osava / IPS na Mario Osava (Rio de Janeiro) Jumatano, Oktoba 22, 2025 Huduma ya…

Read More

Utamaduni wa kampuni unavyoweza kuathiri ufanisi kibiashara

Utamaduni wa kampuni ni kanuni zinazounda mazingira ya kijamii na kisaikolojia ndani ya taasisi fulani. Kanuni hizo ndizo zinazojenga msingi wa mtazamo wa namna mambo yanavyofanyika ndani ya kampuni au shirika husika. Utamaduni huo unaweza kutokana na mambo kadhaa; kwa mfano, taratibu ilizojiwekea kampuni, aina ya wafanyakazi walio nao, eneo ilipo kampuni hiyo, biashara kuu…

Read More

Mahakama yaikataa ripoti ya video ya uhaini wa Lissu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeikataa ripoti ya uchunguzi wa uhalisia wa picha mjongeo (video clip) ya  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, anayekabiliwa na kesi ya uhaini, yenye maudhui yanayodaiwa kuwa ya uhaini. Upande wa mashtaka katika kesi hiyo jana Jumatano, Oktoba 22, 2025 kupitia…

Read More