Maswa yakopesha Sh124 milioni kwa ajili ya kilimo

 Maswa. Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imetoa mikopo yenye thamani ya Sh124.1 milioni kwa vikundi 39 vya wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu, katika utekelezaji wa agizo la Serikali la kutenga asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya makundi haya maalumu. Akizungumza katika hafla ya kukabidhi mikopo hiyo leo Oktoba 28,2025  Mkuu…

Read More

Kamamba: Kakonko tunatiki kwa Samia kesho

Na Mwandishi Wetu  “Kama kuna watanzania wanadai hawaoni sababu ya kumpigia Kura Rais Dk.Samia Suluhu Hassan tarehe 29 Oktoba, mwaka huu, sisi wananchi wa Wilaya ya Kakonko tunazo sababu elfu za kumchagua kwa kura za kishindo ili aendelee kututumikia, aendelee kuijenga wilaya yetu kama alivyotufanyia Kwa hii miaka mitano ya urais wake”. “Rais Samia ameifanyia…

Read More

Haja ya kukata tamaa ya maji na chakula inaendelea wakati familia za Gaza zinaelekea kaskazini – maswala ya ulimwengu

Familia nyingi zinarudi kwenye vitongoji vilivyobomoka ambapo majengo yasiyokuwa na msimamo na hali ya kawaida husababisha hatari mbaya. “Maji, chakula na huduma muhimu bado zinahitajika sana” Ocha Alisema, kama washirika wa kibinadamu wanavyokidhi mahitaji ya kuongezeka huku kukiwa na uharibifu mkubwa. Misaada inaingia Msaada unaendelea kuingia Gaza, na zaidi ya malori 300 ya vifaa vilivyokusanywa…

Read More

TULIKUTA VIROBA NANE VYENYE VIUNGO VYA BINADAMU: SHAHIDI

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MKUU wa Upelelezi Kituo cha Polisi Kawe, Joram Magova (45) ameieleza Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Dar es Salaam kwamba alikuta viungo vya binadamu ikiwemo kichwa na viganja vya mikono vilivyotenganishwa kwenye viroba nane tofauti na kutupwa maeneo ya Tegeta Ununio jijini humo. Magova ambaye ni Mrakibu wa Polisi na…

Read More

JWT yatoa wito wafanyabiashara kufunga maduka kushiriki uchaguzi

Dar es Salaam. Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) imetoa wito kwa wafanyabiashara wote nchini kushiriki katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika kesho, Oktoba 29, 2025, ikisisitiza umuhimu wa amani na utulivu katika kipindi chote cha uchaguzi. Katika taarifa iliyotolewa leo, Oktoba 28, 2025 na Mwenyekiti wa  JWT, Hamis Livembe imeeleza kuwa siku…

Read More

Kura ya mapema yakamilika ikilalamikiwa Zanzibar

Unguja.Kazi ya upigajiwakura ya mapema imefanyika leo Jumanne Oktoba 28, 2025 katika vituo 50 visiwani Zanzibar kwa utulivu na amani licha ya malalamiko katika baadhi ya maeneo. Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), upigaji kura ulianza saa 1:00 asubuhi na kumalizika saa 10:00 jioni kwa mujibu wa sheria namba 4 ya mwaka 2018,…

Read More

Kibatala atia mguu sakata la Niffer

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi likikiri kumshikilia mfanyabiashara Jenifer Jovin maarufu Niffer kwa tuhuma za uchochezi, Wakili Peter Kibatala ameibuka na kusema kama mfanyabiashara huyo atapelekwa mahakamani atapata msaada wa kisheria. Kibatala amebainisha hilo leo Jumanne Oktoba 28, 2025 kupitia ukurasa wake wa Instagram huku akiwataja watu wanaondelea kumpigania Niffer. “@farajimangula na @adv._mike54lg…

Read More

Camara ashtua Simba, mabosi waingia sokoni mapema

KUWEPO kwa taarifa za kipa wa Simba, Moussa Camara kutarajia kufanyiwa upasuaji wa goti, imefichuka ndiyo chanzo cha vigogo wa klabu hiyo kujihami mapema kuingia sokoni kuanza kusaka mbadala aliye na kiwango cha juu. Chanzo kutoka katika klabu hiyo kilisema Camara alipata changamoto ya goti mechi dhidi ya Gaborone United iliyomalizika kwa sare ya bao…

Read More