HALMASHAURI YA MERU YATOA MIL.385 KWA VIJANA NA WANAWAKE.

Na Ashura Mohamed -Arusha Halmashauri ya wilaya ya Meru mkoani arusha imetoa mikopo ya asilimia kumi yenye Jumla ya shilingi milioni mia tatu themanini na tano na laki nane(385,800,000/=,) kwa vijana wanawake na watu wenye Ulemavu. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika katika halmashauri ya Meru  Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mheshimiwa Mwinyi Ahmed Mwiyi  aliipongeza…

Read More

Ulipo mtego wa Ahoua, Mpanzu Simba, Pantev atia neno

KWA kinachofanywa na Morice Abraham ndani ya kikosi cha Simba bila shaka Elie Mpanzu, Jean Charles Ahoua, Kibu Denis na Neo Maema wakizubaa tu imekula kwao. Unajua kwa nini? Kuna wakati nyota mpya huibuka kimyakimya, bila ya kelele nyingi, lakini ghafla inapochomoza, kila anayetazama anabaki na mshangao mkubwa, huo ndio ukweli unaoonekana sasa ndani ya…

Read More

Pacome, Maxi watwishwa mzigo Yanga

KUMEKUWA na vikao vya hapa na pale vinavyofanywa na mabosi wa Yanga sambamba na wachezaji na benchi la ufundi la timu hiyo ili kuweka mambo sawa kuelekea mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Silver Strikers ya Malawi. Unaambiwa vikao hivyo vinavyoendelea ndani ya Yanga, vilianza tangu kikosi hicho kilipokuwa Malawi kabla…

Read More

Mshindi kilomita 21 Zanzibar Half Marathon kuvuna Sh6 milioni

MSIMU wa tatu wa Zanzibar Half Marathon unatarajiwa kufanyika Novemba 30, 2025, ukiwa na lengo la kurejesha matumaini kwa mama aliyeathirika na vitendo vya ukatili wa kijinsia hususani waliotelekezwa na wenzi wao baada ya kujifungua ambapo katika mbio hizo, mshindi wa kwanza kilomita 21, atazawadiwa Sh6 milioni. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana,…

Read More

VIONGOZI WAANDAMIZI WA SEKTA YA UMMA BARANI AFRIKA KUTOKA NCHI 9 ZA KIAFRIKA WAKUTANA JIJINI ARUSHA .

Ashura Mohamed,Arusha . Arusha .VIONGOZI waandamizi wa sekta ya umma barani Afrika kutoka nchi 9 za kiafrika wamekutana jijini Arusha kwa siku tano  kwenye  programu ya mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa Afrika ambayo yamelenga  kuwapa ujuzi, mbinu za ubunifu na ushirikiano za kuwawezesha kuongoza mabadiliko chanya katika utawala, kuimarisha taasisi, kukuza uwajibikaji, na kuchochea…

Read More

Hatari ya madini ya kijani – maswala ya ulimwengu

Picha ya Drone ya Mgodi wa Nickel huko Sulawesi, Indonesia. Mradi wa hisani ya Gecko Maoni na Stephanie Dowlen (Malmo, Uswidi) Alhamisi, Oktoba 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Malmo, Uswidi, Oktoba 23 (IPS) – hata wakati wa upinzani wa kusikitisha wa sasa Utawala wa Amerikaulimwengu unaelekea a Baadaye nishati ya kijani. Wakati serikali…

Read More