Cheki Yanga ilivyoikimbiza Simba CAF

MASHABIKI wa Yanga wanalia timu yao haipo sawa, lakini kumbe takwimu zao zinawabeba vizuri ikionyesha umwamba mbele ya Simba. Takwimu zinaonyesha kwenye mechi nne za hatua ya mtoano kwa kila timu katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu huku zote zikifuzu makundi, Yanga imeipiga bao Simba ikiwa na namba nzuri. Yanga imeonyesha kuwa na ubora…

Read More

Kocha Namungo FC aitumia salamu Azam

BAADA ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Mashujaa, kocha Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema anaamini kikosi chake kitafanya vizuri dhidi ya Azam kwenye mechi itakayochezwa Novemba 5, mwaka huu huku akiweka wazi kuwa wametibu tatizo lililokuwa likiwasumbua, hivyo hawatarudia makosa. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa kuanzia saa 1:00…

Read More

Twiga Stars yafuzu WAFCON 2026

TIMU ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, imefuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 baada ya kuiondosha Ethiopia kwa jumla ya mabao 3-0. Twiga Stars imefuzu michuano hiyo baada ya leo Oktoba 28, 2025 kushinda bao 1-0, mechi ya marudiano dhidi ya Ethiopia iliyochezwa Uwanja wa Kimataifa wa…

Read More

Niffer bado ashikiliwa Polisi Dar

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Jenifer Jovin, maarufu mitandaoni kama Niffer, bado anaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa mahojiano dhidi ya tuhuma zinazomkabili. Kamanda wa Polisi wa kanda hiyo, Jumanne Muliro amethibitisha kwamba jeshi hilo linaendelea kumshikilia mfanyabiashara huyo. Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi, Niffer, aliyetiwa mbaroni jana…

Read More

WATUMISHI WANA HAKI YA KUSHIRIKI UCHAGUZI

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Chato Kaskazini na Chato kusini, Abel Manguya, akizungumza na vyombo vya habari Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Chato,Mandia Kihiyo akizungumza na vyombo vya habari  …………………. CHATO MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Chato mkoani Geita, Mandia Kihiyo, amewaomba watumishi wa halmashauri hiyo kujitokeza kwa wingi kupiga kura siku…

Read More