Pamba yapewa pointi tatu za Dodoma Jiji

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Oktoba 27, 2025, imefikia uamuzi wa kuipa Pamba Jiji pointi tatu na mabao matatu kutokana na mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya wenyeji wao, Dodoma Jiji kushindwa kuendelea. Taarifa iliyotolewa leo Oktoba 28, 2025 na Idara…

Read More

Vinywaji hivi hatari kwa mjamzito, mtoto

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wametahadharisha kuhusu ongezeko la matumizi ya vinywaji vyenye sukari nyingi, hususani soda kwa wajawazito, wakieleza ni tishio kwa afya ya mama na mtoto. Tafiti zinaonesha idadi ya wajawazito wanaokunywa soda mara kwa mara inaongezeka hasa mijini kutokana na urahisi wa upatikanaji wake pamoja na dhana kuwa havina madhara makubwa…

Read More

Kimbunga Chenge chasambaratika, TMA yasema…

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeeleza kimbunga Chenge  kimepoteza nguvu yake na kusambaratika wakati kikikaribia ukanda wa pwani ya nchi. Licha ya kusambaratika, TMA imeeleza kuwa mvua na mawingu yaliyokuwa yakiambatana na kimbunga hicho yamesambaa katika maeneo ya ukanda wa pwani hususan katika mikoa ya Lindi, Pwani, Dar es salaam…

Read More

Biya na Ouattara, marais wakongwe walivyoshinda uchaguzi Cameroon, Ivory Coast

Yamoussoukro/Yaounde. Wakati Rais wa Cameroon, Paul Biya akitangazwa mshindi katika uchaguzi wa Oktoba 12, 2025, mwenzake wa Ivory Coast, Alassane Ouattara naye ametangazwa mshindi huku ghasia zikiibuka nchini humo kupinga ushindi wake. Viongozi hao wa Afrika Magharibi na Kati, licha ya kupata ushindi huo, wameibua mjadala kwenye nchi zao na kwingineko duniani kutokana na umri…

Read More

Rais mpya kujulikana ndani ya saa 72

Dar es Salaam. Wakati kampeni za wagombea zikikamilika, hamu ya Watanzania inahamasishwa na kumpata Rais, wabunge na madiwani watakaoibuka na ushindi katika uchaguzi huu. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) tayari imeshaweka wazi kuwa itamtangaza mshindi wa urais ndani ya saa 72 baada ya kukamilika kwa upigaji kura, ikiahidi uwazi, uadilifu na haki katika…

Read More

Vinywaji vya sukari nyingi hatari kwa mjamzito, mtoto

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wametahadharisha kuhusu ongezeko la matumizi ya vinywaji vyenye sukari nyingi, hususani soda kwa wajawazito, wakieleza ni tishio kwa afya ya mama na mtoto. Tafiti zinaonesha idadi ya wajawazito wanaokunywa soda mara kwa mara inaongezeka hasa mijini kutokana na urahisi wa upatikanaji wake pamoja na dhana kuwa havina madhara makubwa…

Read More