Fundi ujenzi adaiwa kujinyonga kisa msongo wa mawazo

Njombe. Fundi ujenzi, Henry Mhagama (25) amefariki dunia baada ya kujinyonga ndani ya chumba chake katika mtaa wa Kambarage, Halmashauri ya Mji wa Njombe, mkoani Njombe, chanzo kikidaiwa kuwa ni msongo wa mawazo. Marehemu inadaiwa kuwa makazi yake ni Kibamba jijini Dar es salaam, lakini huko Kambarage Block X alifika Oktoba 27, 2025 na kufikia…

Read More

ASILIMIA 70 YA WAPIGA KURA WAKO TAYARI KUMCHAGUA DKT. SAMIA.

:::::: Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mkurugenzi wa Msama Promotion Ndugu Alex Msama amesema kuwa kwa takwimu zilizopo, Mgombea Urais kupitia CCM Dkt Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi wa kesho kwa kishindo kikubwa. Msama amesema hayo kutokanana na takwimu zilizotolewa jana na Katibu Mwenezi wa Chama hicho Ndugu. Kenani Kihongosi kuwa Watanzania Milioni 25…

Read More

Bidhaa za Tanzania zapenya masoko ya Dunia kupitia CIIE

Dar es Salaam. Uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na China umechukua sura mpya, baada ya kugeuka lango la soko la kimataifa kati ya mataifa haya mawili. Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, amesema maonyesho ya Kimataifa ya Uagizaji Bidhaa (CIIE), yanaendelea kuwa jukwaa muhimu la kukuza biashara na kuimarisha uhusiano wa kiuchumi kati…

Read More

Dk Bashiru ataja vigezo sita vinavyombeba Samia

Mwanza. Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally, amemuombea kura kwa Watanzania mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho, Samia Suluhu Hassan huku akitaja vigezo sita vinavyombeba mgombea huyo, ikiwemo ustahimilivu na usimamizi makini wa rasilimali za nchi. Vigezo vingine ni Samia kuwa kiongozi mwenye msimamo usioyumba hasa masuala yanayohusu…

Read More