Tchakei aiokoa Singida, ikivuna pointi ya kwanza CAF

BAO la penalti katika dakika za majeruhi lililofungwa na mtokea benchi, Marouf Tchakei imeiwezesha Singida Black Stars kuandika historia ya kuvuna pointi ya kwanza ya katika mechi za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutoka sare ya 1-1 na Stellenbosch ya Afrika Kusini. Singida inayoshiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza, imekwepa mtego…

Read More

Imekuwa Jumapili ngumu kwa Simba 

LICHA ya wenyewe kujinasibu kwamba Jumapili huwa ni siku nzuri kwa klabu yao, lakini hali kwa Jumapili ya leo imekuwa kinyumw kwa Simba baada ya awali kuvurugana katika Mkutano Mkuu wa mwaka mapema asubuhi na usiku huu imekumbana na kipigo cha pili ikiwa ugenini huko Mali. Asubuhi Simba ilifanya mkutano ambao ulimalizika kitatanishi baada ya…

Read More

HALI YA MAAMBUKIZI YA VVU YAPUNGUA MKOANI GEITA

Hali ya Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kwa mkoa wa Geita  imepungua kutoka asilimia 4.9 ya mwaka 20121/2022 mpaka asilimia  4.3 ya mwaka 2025. Hayo yamebainishwa katika maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani yaliyofanyika katika kijiji cha Lwamgasa halmashauri ya wilaya ya Geita mkoani Geita ambapo halmashauri hiyo imetajwa kuchochea maambukizi haya. Akiongea na wananchi…

Read More

Ijue chanjo mpya ya saratani inayotumia teknolojia ya mRNA

Dar es Salaam. Katikati ya makali ya ugonjwa wa saratani duniani, Russia imeanza kusambaza chanjo inayotumia teknolojia ya mRNA kupambana na ugonjwa huo hatari. Russia ilizindua chanjo hiyo ya kwanza duniani mapema mwaka huu na kuahidi kuitoa bila malipo. mRNA inakusudia kuusaidia mwili wa binadamu kutambua na kupambana na seli za saratani kwa usahihi na…

Read More

Mchuano kusaka mameya CCM | Mwananchi

Dar es Salaam. Kesho macho na masikio yatakuwa kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM) nchi nzima, wanaotarajiwa kupiga kura za maoni katika mchuano wa kusaka majina ya mwisho yawatakaowania umeya wa majiji matano na uenyekiti wa manispaa na halmashauri nchini. Hatua hiyo ni baada ya Kamati Kuu ya CCM kukamilisha mchujo kwa wagombea wote…

Read More

Ulega awageukia mameneja wa Tanroads

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewaagiza mameneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) nchi nzima kuhakikisha hakuna foleni zisizo na sababu, zinazoweza kukwamisha au kupunguza kasi ya shughuli za kiuchumi na kijamii kwa wananchi. Ulega ametoa agizo hilo leo Jumapili Novemba 30, 2025  jijini Dar es Salaam alipokagua maendeleo ya upanuzi wa…

Read More

KCMC kuanzisha benki ya vinasaba kuimarisha utafiti

Moshi. Katika juhudi za kuinua kiwango cha utafiti na ubunifu katika kada mbalimbali za afya nchini, Chuo Kikuu cha KCMC mkoani Kilimanjaro kimepanga kuanzisha benki ya vinasaba mbalimbali ili kuendana na kasi ya maendeleo ya sayansi na teknolojia duniani. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho, Profesa Lughano Kusiluka, wakati wa mahafali…

Read More