Hatimaye Mzize afunguka jambo zito
MSHAMBULIAJI nyota wa Yanga aliyefanyiwa upasuaji wa goti na kumfanya awe nje kwa muda mrefu, Clement Mzize amelizungumzia bao alilowatungua TP Mazembe katika makundi ya Ligi ya Mabingwa linalowania tuzo ya Bao Bora CAF. …