Mikakati ya Singida BS bila Gamondi

UONGOZI wa Singida Black Stars, umesisitiza kwamba Kocha Mkuu, Miguel Gamondi bado yupo sana klabuni hapo, huku ukieleza namna utakavyoishi pale ambapo kocha huyo atatingwa na majukumu ya timu ya taifa. Novemba 4, 2025, Gamondi aliteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kuwa kaimu kocha mkuu wa Taifa Stars akichukua nafasi ya Hemed…

Read More

JKT Queens kazi inaanza leo CAF

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake Bara, JKT Queens leo watakuwa katika Uwanja wa Suez Canal uliopo Ismailia, Misri kuianza safari ya ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika Wanawake dhidi ya Gaborone United ya Botswana. Katika hatua ya makundi ya michuano hiyo, JKT Queens imepangwa Kundi B itaanza kucheza dhidi ya Gaborone kisha Novemba…

Read More

Kulandana atoa tahadhari | Mwanaspoti

KIUNGO wa Fountain Gate, Abdallah Kulandana amesema ongezeko la wachezaji ndani ya kikosi hicho baada ya uongozi kukamilisha usajili kwenye mfumo limeongeza chachu ya ushindani huku akiitahadharisha Pamba Jiji. Fountain Gate imerejea mazoezini Jumatano wiki hii tayari kwa ajili ya kujiweka sawa na mechi zijazo za Ligi Kuu Bara huku ikielezwa kurudi kwao mapema ni…

Read More

Kakolanya ana hesabu kali timu ya Taifa

KIPA namba moja wa Mbeya City, Beno Kakolanya amesema bado anaamini ana nafasi ya kurejea katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, huku akiwapongeza makipa wote walioitwa kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Kuwait itakayopigwa Novemba 14, 2025 jijini Cairo, Misri. Stars itacheza mechi hiyo chini ya benchi jipya la…

Read More

Kama utani… CAF imewarudisha Bongo kivingine

TIMU nne za Tanzania zinazoshiriki hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika zimeshajua zinakutana na wapinzani gani katika mechi sita zikiwa ni Yanga, Simba, Azam FC na Singida Black Stars. Yanga iko Ligi ya Mabingwa ikiangukia kundi  B linalojumuisha timu kama Al Ahly (Misri), JS Kabylie (Algeria) na AS…

Read More

Majaribio chanjo mpya ya malaria yaonyesha matumaini

Dar es Salaam. Chanjo mpya ya majaribio ya malaria iitwayo SUM-101 imeonyesha matokeo ya kutia moyo katika jaribio la kwanza miongoni mwa watu wazima nchini Tanzania, ambao tayari walikuwa wamewahi kuambukizwa ugonjwa huo. Utafiti huo ulioongozwa na Aina-ekisha Kahatano na Maxmillian Mpina kutoka Taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI), ulibaini kuwa chanjo hiyo ni salama,…

Read More