Kulinda upatikanaji wa maji safi wakati vitisho vya hali ya hewa vinaongezeka – maswala ya ulimwengu

“Vituo vya huduma ya afya ni mahali ambapo walio hatarini hutafuta uponyaji. Bado, bila maji ya kutosha, usafi wa mazingira na usafi, kwa watu wengi, utunzaji unaotarajiwa unaweza kuwa mbaya,” alisema Dk. Hans Kluge, Shirika la Afya Ulimwenguni ((WHO) Mkurugenzi wa mkoa wa Ulaya. Akisisitiza kwamba huduma ya afya “inajaribiwa kama hapo awali”, Dk. Kluge…

Read More

Namungo, Azam hakuna mbabe, kadi nyekundu zatawala

MECHI ya Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji, Namungo ‘Wauaji wa Kusini’ dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, imemalizika kwenye Uwanja wa Majaliwa Lindi, huku kukiwa hakuna mbabe baada ya miamba hiyo kutoka sare ya kufungana bao 1-1. Azam ilitangulia kupata bao kupitia kwa Idd Seleman ‘Nado’ dakika ya 14,…

Read More

‘Wenyeviti wa mitaa walioshinda udiwani kujiuzulu’

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya wenyeviti wa Serikali za mitaa wakishinda udiwani kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imesema inasubiri taarifa rasmi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kubaini walioshinda ili mitaa husika ifanye uchaguzi mdogo. Tamisemi inayosimamia uchaguzi wa…

Read More

Kesi ya Lissu kuendelea kesho baada ya kukwamishwa na uchaguzi

‎‎Dar es Salaam. Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu iliyoahirishwa kupisha uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, itarejea kesho Jumatatu, Novemba 10, 2025. Kesi hiyo inayosikilizwa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam na jopo la majaji watatu linaloongozwa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Iringa, Dunstan Ndunguru…

Read More

Askofu Shoo: Mamlaka zitafakari vurugu wakati wa uchaguzi, kusikiliza kilio cha wananchi

Hai. Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, amewataka  viongozi wenye mamlaka nchini kutafakari kwa kina kuhusu matukio ya vurugu na machafuko yaliyoripotiwa kutokea  wakati na baada ya uchaguzi mkuu, mwaka huu, akisisitiza haja ya kujenga upya misingi ya amani, umoja na haki katika Taifa. Akizungumza…

Read More

Hesabu kali za Dimitar Pantev Simba

MASTAA wa Simba wapo mapumzikoni baada ya kukamilisha mechi tatu za Ligi Kuu Bara kibabe kwa kuifumua JKT Tanzania kwa mabao 2-1, lakini meneja mkuu wa timu hiyo, Dimitar Pantev hapumziki akiwa ameanza hesabu mpya ili kuwapa raha mashabiki. Simba ilipata ushindi huo…

Read More