Unaanzaje kuwa bahili kwa mwenza wako? 

Katika jamii nyingi za Kiafrika na duniani kwa ujumla, uhusiano wa ndoa unajengwa juu ya msingi wa upendo, mawasiliano, kusaidiana na kujali mahitaji ya kila mmoja.  Hata hivyo, moja ya changamoto zinazozidi kuonekana ndani ya ndoa nyingi ni suala la ubahili kati ya wenza. Wakati mwingine, mtu anaweza kuwa bahili bila hata kujitambua, jambo linaloathiri…

Read More

Usiwajengee watoto mazingira kuja kuwalaumu

Canada. Ni wazazi wachache wanaofaidi matokeo mazuri ya malezi yao kwa watoto.  Hali hii inachangiwa na mambo mengi, ikiwemo mabadiliko ya nyakati, mitazamo potofu, na wakati mwingine ujinga wa kimakusudi.  Kila mzazi anatamani mtoto wake afanikiwe zaidi yake, lakini mara nyingi juhudi hizo huishia kuwaharibu watoto bila kukusudia. Dunia imebadilika, na wazazi wanapaswa kubadilika nayo….

Read More

Namna ya kumsaidia mtoto aliyeshuhudia vurugu

Dar es Salaam. Katika jamii yetu ya sasa, matukio ya vurugu, milipuko ya mabomu, milio ya risasi au vitendo vya kikatili yamekuwa yakishuhudiwa mara kwa mara katika maeneo mbalimbali. Watu wazima huathirika kisaikolojia, sembuse watoto ambao bado akili zao hazijakomaa kuelewa kinachotokea. Mtoto anaposhuhudia vurugu za kutisha, hisia zake hujeruhiwa na kama hatapatiwa msaada wa…

Read More