WAJASIRIAMALI TANZANIA WAPONGEZA SERIKALI KUWEZESHA USHIRIKI WAO MAONESHO YA NGUVU KAZI KENYA
Na; OWM (KVAU) – Nairobi Wajasiriamali wa Tanzania wamepongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwawezesha kushiriki Maonesho ya 25 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), maarufu kama Nguvu Kazi au Jua Kali, yanayoendelea jijini Nairobi, Kenya. Wakizungumza kwa nyakati tofauti,…