WAJASIRIAMALI TANZANIA WAPONGEZA SERIKALI KUWEZESHA USHIRIKI WAO MAONESHO YA NGUVU KAZI KENYA

  Na; OWM (KVAU) – Nairobi Wajasiriamali wa Tanzania wamepongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwawezesha kushiriki Maonesho ya 25 ya Wajasiriamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), maarufu kama Nguvu Kazi au Jua Kali, yanayoendelea jijini Nairobi, Kenya. Wakizungumza kwa nyakati tofauti,…

Read More

Wakulima waliohamishwa kusini mwa Lebanon bado walikataa upatikanaji wa ardhi – maswala ya ulimwengu

Greenhouse iliyoharibiwa huko Bent Jbeil, Gavana wa Nabatieh. Mikopo: Kitendo dhidi ya njaa na Ed Holt (Bratislava) Jumatatu, Novemba 10, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BRATISLAVA, Novemba 10 (IPS) – Usalama wa chakula na riziki kusini mwa Lebanon ziko chini ya tishio kali wakati athari za mabomu ya Israeli zinaendelea kuhisiwa katika mkoa wote,…

Read More

Mhandisi Lwamo: Mazoezi ni Kinga ya Afya Kazini

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, amewataka watumishi wa Tume kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ya mwili mara kwa mara na kuepuka tabia zinazoweza kusababisha magonjwa sugu na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU). Mhandisi Lwamo ametoa wito huo Novemba 10, 2025, wakati akifungua mafunzo ya waelimisha rika wa Tume ya Madini…

Read More

Bunge la 13 kuanza kesho, Samia ateua wabunge sita

Dar/Dodoma. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akifanya uteuzi wa wabunge sita, Bunge la 13 linaanza rasmi kesho Novemba 11, 2025, likiwa limebeba mzigo wa kurejesha imani ya Watanzania. Bunge hilo linaundwa na wabunge 272 waliochaguliwa majimboni, wabunge 115 wa viti maalumu pamoja na wabunge sita walioteuliwa na Rais Samia leo Novemba 10, 2025, kwa mujibu…

Read More

Waitara aonya udanganyifu utekelezaji miradi ya Tanapa

Arusha. Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa), Jenerali George Waitara amewataka wataalamu wanaosimamia utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya shirika hilo kufuata maadili, uadilifu na weledi katika kazi. Waitara ambaye ni Mkuu wa Majeshi mstaafu amesema hayo leo Jumatatu, Novemba 10, 2025 jijini Arusha wakati akizindua Bodi ya Wakurugenzi…

Read More

‎Watuhumiwa 227 Ilemela, Arusha washtakiwa kwa uhaini, Jamhuri yabanwa kwa hoja nne

‎Mwanza/Arusha. Watuhumiwa 227 waliokamatwa wilayani Ilemela mkoani Mwanza na Arusha kutokana na vurugu zilizotokea kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, wameshtakiwa kwa makosa ya kula njama na uhaini. Mawakili 37 kutoka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Mkoa wa Mwanza wamejitolea kuwatetea washtakiwa wote wenye kesi za namna hiyo. Washtakiwa hao wamesomewa…

Read More