Kisukari tishio, Tanzania yataja mikakati

Dar es Salaam. Idadi ya wagonjwa wa kisukari duniani imepanda kwa kasi isiyokuwa ya kawaida, ikifikia zaidi ya watu milioni 800 mwaka huu, ikiwa ni ongezeko la zaidi ya mara nne ikilinganishwa na miaka ya 1990.  Ripoti mpya ya jarida maarufu duniani la afya The Lancet, kwa ushirikiano na Shirika la Afya Duniani (WHO), inaonya…

Read More

Misingi utunzaji mazingira katika Uislamu

Uislamu ndio dini ya mwanzo kutoa miongozo na sharia za kulinda na kutunza mazingira, kuhakikisha usalama wake, usawa wake, na ustawi wake, kwa kulinda maji, hewa, ardhi, wanyama, mimea na hata mawe.  Allah Mtukufu amesema: “Yeye ndiye aliyekuumbeni kutoka ardhini na akakuamrisheni kuistawisha” (11: 61). Aidha Allah amekataza uharibifu wa mazingira, akasema “….kuleni na kunyweni…

Read More

Tuwalinde hivi watoto, vijana dhidi ya kisukari

Russia. Leo ni Siku ya Kisukari Duniani, chini ya uratibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) yenye kaulimbiu isemayo “Kisukari na Ustawi.”  Katika kuadhimisha siku hii muhimu, tunajadili kisukari cha aina ya pili kwa watoto, ugonjwa unaoongezeka kwa kasi duniani kote. Kama ilivyo kwa watu wazima, kisukari cha aina ya pili hutokea pale ambapo mwili…

Read More

Bingwa WPL anaanza kutafutwa leo

BAADA ya takribani miezi mitano kupita hatimaye pazia la Ligi ya Wanawake linafunguliwa rasmi leo zikipigwa mechi nne kwenye viwanja tofauti. Kutokana na ratiba ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake ambayo ukanda wa Cecafa unawakilishwa na JKT Queens, mabingwa hao wa Bara hawataanza kulitetea taji lao hadi watakapoishia kwenye michuano ya CAF….

Read More