JKT yatupwa nje CAFWCL | Mwanaspoti

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake Bara, JKT Queens wametupwa nje kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuchapwa mabao 4-1  na TP Mazembe. Mtanange huo  umepigwa kwenye Uwanja wa Suez Canal mjini Ismailia, Misri na kwenye kundi B JKT iliyomaliza nafasi ya tatu imeondolewa pamoja na Gaborone United iliyomaliza nafasi ya…

Read More

TASAC YAENDELEZA ELIMU KWA WAVUVI

Na Mwandishi Wetu, Geita Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeanzisha kampeni ya kutoa elimu ya usafiri salama wa majini katika Wilaya ya Chato mkoani Geita eneo ambalo limeendelea kuwa mfano wa kuigwa kwa kutokuripoti ajali za majini kwa muda mrefu. Akizungumza wakati wa utoaji wa elimu ya usafiri salama wa majini kwa Wavuvi…

Read More

Siku ya Kutusua na Meridianbet Hii Hapa

MICHUANO hii hapa ya kufuzu Kombe la Dunia inakupa nafasi kubwa ya kujinyakulia mshiko wa maana na Meridianbet leo. Suka jamvi lako la ushindi sasa na uibuke bingwa leo. Katika Kundi B, Switzerland ataumana vikali dhidi ya Sweeden ambapo mara ya mwisho kukutana, mwenyeji aliibuka na ushindi. Tofauti ya pointi kati yao ni 9 pekee…

Read More

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Rais kanyoosha mkono, tuupokee kwa kanuni hizi nane za maridhiano

Rais Samia Suluhu Hassan amelifungua rasmi bunge la 13 Jijini Dodoma na moja kati ya mambo ambayo yamenigusa kama raia mwema, ni kauli inayoashiria kukiri kuna mahali tumeteleza na akanyoosha mkono wa kutamani maridhiano ya kitaifa. Tukae kama watanzania kwa njia za amani, wananchi waweke hasira kando na mihemko, serikali iweke mbele dhamira iliyotajwa kwenye…

Read More

DKT. NCHIMBI ASHIRIKI MKUTANO WA ICGLR, KINSHASA

::::::::: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ukiwa ni mkutano wake wa kwanza kushiriki nje ya mipaka ya Tanzania kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, tangu alipoapishwa kushika wadhifa huo Novemba 03, 2025….

Read More

Mtatiro: Watumishi wa umma jengeni tabia ya kupima afya

Shinyanga. Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Julius Mtatiro amewahimiza wananchi wa wilaya ya Shinyanga hususani watumishi wa umma kujenga tabia ya kupima afya mara kwani kutokufanya hivyo kunasababisha magonjwa ambavyo yangeweza kutibika mapema kuchukua muda mrefu na gharama. Akizungumza leo Novemba 15, 2025 katika kikao cha uwasilishaji taarifa ya lishe kwa Manispaa ya Shinyanga, kilichofanyika…

Read More