Hauwezi kufanya maamuzi juu ya maisha yetu – mtazamo juu ya mazungumzo ya mabadiliko ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Immaculata Casimero huko Cop30 huko Belém. Amehudhuria askari watatu kutetea haki na uwakilishi wa watu asilia. Mikopo: Annabel Prokoyp/IPS na Annabel Prokoyp (Belém, Brazil) Jumatatu, Novemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Kama mwanamke asilia, ningependa kuona zaidi yetu kwenye meza ya mazungumzo. Kwa sababu huwezi kuamua juu ya maisha yetu, juu ya tunakoishi,…

Read More

Afrika inataka afya iwe katikati ya fedha za kukabiliana – maswala ya ulimwengu

Katika COP30 huko Belém, Brazil, wanaharakati wanafanya kampeni dhidi ya utumiaji wa mafuta ya mafuta. Mikopo: Farai Shawn Matiashe/IPS na Farai Shawn Matiashe (Belém, Brazil) Jumatatu, Novemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Hii ni nakala ya utekelezaji. Sitaki kuona maandishi zaidi ambayo yanaongeza ahadi. Lakini tunachohitaji ni kwa undani kile ambacho tayari kimeahidiwa….

Read More

Jumuiya ya Madola kusaka maridhiano Tanzania

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikisaka njia ya maridhiano, Jumuiya ya Madola imemteua Rais mstaafu wa Malawi, Dk Lazarus Chakwera kuwa mjumbe maalumu wa jumuiya hiyo nchini kuunga mkono majadiliano ya maridhiano na maendeleo. Hatua hiyo, inamfanya Dk Chakwera kuongoza ujumbe wa jumuiya hiyo kwa kufanya ziara ya siku nne nchini kuanzia kesho Novemba 18,…

Read More

Walichokisema Bashe, Bashungwa, Ndumbaro baada kuwekwa kando

Dar es Salaam. Saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza baraza jipya la mawaziri, baadhi ya mawaziri waliokuwemo kwenye baraza lililopita ambao sasa ni wabunge wa kawaida, wamefunguka wakitoa pongezi na shukurani. Miongoni mwa mawaziri walioachwa na wizara zao kwenye baraza lililopita ni: Dk Doto Biteko (aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

Read More

‘Mawaziri’ saba watemwa, wadau wasema…

Dar es Salaam. Wanasiasa saba waliokuwa mawaziri katika muhula wa kwanza wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, hawatakuwa sehemu ya Baraza la Mawaziri la sasa, baada ya kuwekwa kando. Kati ya wanasiasa hao, wapo waliohudumu katika awamu mbalimbali za Serikali, huku wengine wakiwa na historia ya kumwagiwa sifa na mkuu huyo wa nchi, lakini…

Read More

Waliokisema Bashe, Bashungwa, Ndumbaro baada kuwekwa kando

Dar es Salaam. Saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza baraza jipya la mawaziri, baadhi ya mawaziri waliokuwemo kwenye baraza lililopita ambao sasa ni wabunge wa kawaida, wamefunguka wakitoa pongezi na shukurani. Miongoni mwa mawaziri walioachwa na wizara zao kwenye baraza lililopita ni: Dk Doto Biteko (aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…

Read More

Mshangao mabadiliko Baraza la Mawaziri

Dar es Salaam. Ni mshangao. Ndivyo unavyoweza kulielezea baraza jipya la mawaziri ambalo Rais Samia Suluhu Hassan amelitangaza, likiwa na sura mpya, huku baadhi ya waliokuwa kwenye baraza lililopita wakirejea na wengine wakitemwa. Rais Samia ameteua baraza hilo leo Novemba 17, 2025, likiwa na mawaziri 27, huku akiunda wizara mpya ya Maendeleo ya Vijana, itakayokuwa…

Read More

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

…………… Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Novemba 17, 2025 amekabidhiwa Ofisi na  Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Mlimwa Jijini Dodoma Novemba 17, 2025.  Viongozi waliohudhuria hafla ni pamoja na Naibu Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Doto Biteko, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi, Wakuu wa Idara na watumishi wengine wa Ofisi ya Waziri Mkuu.

Read More