Skip to content

HabariMpya

Habari za Kitaifa

Random News
  • Privacy Policy
Headlines
  • MAGAZETI YA TZ LEO J'TATU NOV 17,2025

    8 minutes ago
  • Waendesha Bodaboda Watakiwa Kuepuka Vitendo Vya Uhalifu – Global Publishers

    58 minutes ago
  • Pacome, Doumbia wamtikisa Kocha Mreno

    2 hours ago
  • Dimitar Pantev hajaridhika, kuna kitu anakitafuta Simba

    3 hours ago
  • TUMEMKAMATA MWANAJESHI WA MAREKANI AKIWA NA MABOMU MANNE

    7 hours ago
  • Ushindi Mnono Unakungoja na Meridianbet Leo

    9 hours ago
  • Home
  • 2025
  • November
  • 17

November 17, 2025

  • Magazeti

MAGAZETI YA TZ LEO J'TATU NOV 17,2025

Admin8 minutes ago01 mins

 

Read More
  • Habari

Waendesha Bodaboda Watakiwa Kuepuka Vitendo Vya Uhalifu – Global Publishers

Admin58 minutes ago02 mins

Last updated Nov 16, 2025 Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewataka maafisa usafirishaji (bodaboda) kujiepusha na vitendo vyovyote vya uhalifu au uvunjifu wa amani kutokana na makundi yenye nia ovu kudaiwa kuwashirikisha baadhi ya vijana wakiwemo waendesha bodaboda katika vitendo vya kihalifu. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Operesheni Mkoa…

Read More
  • Michezo

Pacome, Doumbia wamtikisa Kocha Mreno

Admin2 hours ago06 mins

KIKOSI cha Yanga kimeshavuka bahari ya Hindi na kutua visiwani Zanzibar kwa ajili ya kuanza maandalizi ya mwisho ya kukabiliana na Far Rabat ya Morocco katika mechi ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini kocha wa timu pinzani ameanza kuingiwa ubaridi mapema. …

Read More
  • Michezo

Dimitar Pantev hajaridhika, kuna kitu anakitafuta Simba

Admin3 hours ago06 mins

ZIKIWA zimesalia siku sita tu kabla ya Simba kutupa karata ya kwanza katika mechi za makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Petro Atletico ya Angola, kocha wa timu hiyo, Dimitar Pantev amewaambia mastaa wa timu hiyo anataka wafanye mambo yatakayowabeba kundini. …

Read More

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo