Asasi za Kiraia zinaonya juu ya kunyakua ardhi mpya wakati Benki ya Dunia inasukuma mageuzi ya umiliki barani Afrika – Maswala ya Ulimwenguni

Mariann Bassey-Olsson wa AFSA, kushoto, na Prof Ruth Hall wa Plaas Nigeria. Mikopo: Isaya Esipisu/IPS na Isaya Esipisu (Addis Ababa) Jumatano, Novemba 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Wazo la wingi wa ardhi ni hadithi ya wakoloni ambayo inakataa kufa. Utafiti wetu unaonyesha kuwa ardhi za Afrika tayari zinatumika sana na zinathaminiwa sana na…

Read More

MZIZE ABEBA TUZO YA GOLI BORA LA MWAKA CAF 2025

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Mchezaji wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans na timu ya Taifa ya Tanzania, Clement Mzize amefanikiwa kuchukua tuzo ya goli bora la mwaka la shirikisho la soka barani Africa CAF. Goli hilo alifunga kwenye mchezo dhidi ya TP Mazembe kwenye ligi ya mabingwa barani Afrika hatua ya Makundi…

Read More

Mayele atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Klabu

Fiston Mayele ametawazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa Klabu za Wanaume katika Tuzo za CAF 2025, akihitimisha msimu wake bora zaidi uliomfanya mshambuliaji huyo wa DR Congo kuwa mmoja wa wachezaji wasiozuilika kirahisi barani Afrika. Mchezaji huyo wa kimataifa wa DR Congo ametoa mchango wa hali ya juu kwa klabu ya Pyramids iliyotwaa mataji…

Read More

Mzize ang’ara tuzo za CAF 2025

Mshambuliaji wa Yanga na Taifa Stars, Clement Mzize ameshinda Tuzo ya Bao Bora la Mwaka 2025 katika hafla ya utoaji tuzo za Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Mzize ameshinda tuzo hiyo kutokana na bao alilofunga msimu wa 2024-2025 hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe wakati Yanga ikishinda 3-1 kwenye…

Read More