Kwa nini Chakula na Kilimo kinapaswa kuwa katikati ya Ajenda ya COP30 – Maswala ya Ulimwenguni

Mkulima mdogo wa Zimbabwe Agnes Moyo. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Busani Bafana (Bulawayo, Zimbabwe) Jumanne, Novemba 18, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Agroecology inaimarisha uhuru wa chakula kwa kuhamasisha uzalishaji wa ndani na matumizi. –Elizabeth Mpofu, mkulima wa Zimbabwe BULAWAYO, Zimbabwe, Novemba 18 (IPS) – Wakati COP30 ilipoingia wiki yake ya pili huko Brazil,…

Read More

Waarabu warudi tena kwa Fei Toto na mzigo wa maana

KLABU ya Al Ahli Tripoli imezidi kuweka presha ya kumtaka kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, safari hii ikija na dau jipya, lakini anayekwamisha dili hilo anatajwa ni Kocha Florent Ibenge. Ikumbukwe, klabu hiyo kutoka Libya iliifuata Azam mara mbili, ikimtaka mchezaji huyo lakini msimu uliopita wakati Waarabu hao wakiwa kwenye harakati hizo,…

Read More

Malengo ya Yusuph Mhilu Geita Gold

WINGA wa Geita Gold, Yusuph Mhilu amesema anaamini msimu huu ni wa kufa ama kupona kwa timu hiyo katika safari yao ya kurejea Ligi Kuu Bara, huku akisistiza hakuna visingizio. Mhilu amedumu na timu hiyo kwa msimu wa tatu sasa baada ya kujiunga nayo 2023-2024 akitokea Simba, kisha akashuka nayo daraja na msimu uliopita akakipiga…

Read More

Pantev afumua maeneo matatu Simba

TAARIFA za ndani kutoka Simba zinasema, klabu hiyo imepanga kuongeza nguvu katika maeneo matatu, ushambuliaji, beki wa kati na kipa kupitia usajili wa dirisha dogo linalotarajia kufunguliwa Desemba 15, 2025 hadi Januari 15, 2026. Kigogo mmoja wa klabu hiyo, aliliambia Mwanaspoti sababu za kutafuta kipa ni kutokana na Moussa Camara kufanyiwa upasuaji wa goti akitarajiwa…

Read More