SIMBA KUTUMIA JEZI ILEILE KIMATAIFA

 ……………

Klabu ya Simba Kuendelea kutumia Jezi ambayo iliizindua mwanzo mwa msimu katika mashindano ya kimataifa 

Kupitia ukurasa wao wa @simbasctanzania  wameposta  Jezi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/26.

Kilichobadilika ni nembo za mdhamini na Ya Caf.