Ikiwa COP30 itashindwa, haitakuwa Kaskazini dhidi ya Kusini, lakini Power dhidi ya Watu – Maswala ya Ulimwenguni

Mikopo: Habari za UN/Felipe de Carvalho Maoni na tangawizi Cassady (Belém, Brazil) Ijumaa, Novemba 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Tangawizi Cassady ni Mkurugenzi Mtendaji, Mtandao wa Matendo ya Mvua ya Mvua Belém, Brazil, Novemba 21 (IPS) – Belém, kwenye mdomo wa Mto wa Amazon, kila wakati alikuwa mwenyeji wa mfano wa Mkutano wa…

Read More

TBS WAFUNDA USALAMA WA CHAKULA

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limehimiza wananchi kuzingatia matumizi ya chakula salama pamoja na kuimarisha usafi katika maandalizi ya chakula ili kulinda afya ya mlaji na kupunguza madhara yanayotokana na vyakula visivyo salama. Akizungumza leo Novemba 21, 2025 Jijini Dar es Salaam, Afisa Udhibiti Ubora Mkuu wa TBS, Bw. Moses Mbambe, amesema usalama wa chakula…

Read More

Masawe, Kipenye wazamisha jahazi la Dodoma Jiji

MABAO mawili ya nyota wa Namungo, Jacob Masawe dakika ya 75 na Cyprian Kipenye dakika ya 82, yametosha kuipatia ushindi timu hiyo wa 2-0, dhidi ya Dodoma Jiji, katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa leo Novemba 21, 2025 kwenye Uwanja wa Majaliwa mkoani Lindi. Katika mechi hiyo, ilishuhudiwa wachezaji waliotokea benchi wakiamua ushindi kwa…

Read More

MAUZO YA SAMAKI YAPAA NJE YA NCHI

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Bi. Agnes Kisaka Meena, Novemba 21, 2025, alipokuwa akihitimisha maadhimisho ya Siku ya Mvuvi Duniani jijini Dar es Salaam katika fukwe za Kawe Beach kwa lengo la kuhamasisha dhana ya Uchumi wa Buluu, ulaji wa samaki na mazao yake, pamoja na kuimarisha shughuli za…

Read More

Jamhuri yaweka wazi ushahidi itakaoutumia kesi ya Jatu

Dar es Salaam. Mashahidi 60 wanatarajiwa kuitwa na Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mkurugenzi wa Kampuni ya Jatu Public Limited Company (PLC), Peter Gesaya na wenzake, inayohusiana na ubadhirifu na utakatishaji fedha zaidi ya Sh3 bilioni. Mbali ya idadi hiyo ya mashahidi vilevile Jamhuri inatarajia kuwasilisha jumla ya vielelezo 136, kati ya hivyo…

Read More

Wanawake waongoza kwa idadi wahitimu Rucu

Iringa. Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) leo kimefanya mahafali yake ya 18 katika viwanja vya chuo hicho jijini Iringa, ambapo jumla ya wahitimu 1,658 wametunukiwa vyeti, stashahada, shahada na shahada za uzamili. Katika mahafali hayo, wanawake wameongoza kwa idadi kubwa, ikiwa ni 920, dhidi ya wanaume 738, hatua inayotafsiriwa kama ishara ya ukuaji wa usawa…

Read More

Wajasiriamali wafichua siri ya tiba kwenye maua

Morogoro. Wajasiriamali wa bidhaa za maua katika Maonesho ya Biashara ya Morogoro wamesema kuwa, licha ya maua kutambulika zaidi kama mapambo ya nyumba, bustani na hoteli, yana pia manufaa makubwa kiafya ambayo sehemu kubwa ya jamii bado haijayafahamu vya kutosha. Akizungumza na Mwananchi leo, Novemba 21, 2025, mjini hapa, mjasiriamali wa maua na mimea tiba,…

Read More

Uvunaji wa maji ya mvua hupunguza ukame katika Mashariki ya Guatemala – Video – Maswala ya Ulimwenguni

Kuteswa na ukame, familia za kilimo zinazoishi ndani ya mipaka ya ukanda kavu mashariki mwa Guatemala wameamua kuvuna maji ya mvua, mbinu bora ambayo imewaruhusu kukabiliana na Edgardo Ayala (San Luis Jilotepeque, Guatemala) Ijumaa, Novemba 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari San Luis Jilotepeque, Guatemala, Novemba 21 (IPS) – iliyokumbwa na ukame, familia za…

Read More