Baraka Melami (40) mkazi wa Kitongoji cha Juhudi katika Kijiji cha Olevolosi, Arumeru, Arusha aliyedai kukatwa nyeti na mkewe usiku wa kuamkia Novemba 19, 2025, ameelezea zaidi kuwa hana shida na mke wake na amemsamehe.
Video full ipo YouTube, Global TV
🔴 Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika.

Related
