Wajasiriamali wachanga wanaapa kuchukua nafasi zao na kujenga viwanda vya kesho – maswala ya ulimwengu

Kwa kiwango cha kushindwa kwa asilimia 90 kwa wanaoanza, unaweza kusamehe vijana ikiwa wangehitimisha kuwa kuanzisha kampuni, haswa wakati wa msukosuko kwa uchumi wa dunia, itakuwa chaguo hatari sana. “Lakini kuna nafasi ya asilimia 10 ya kuboresha maisha ya watu,” mwanafunzi wa usimamizi wa biashara Daniel Wu, kwa ujasiri kuchukua njia ya “glasi kamili”. “Ikiwa…

Read More

SIDO YAAGIZWA KUBADILIKA KIDIJITALI KUONGEZA TIJA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), ameliagiza Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO) kuongeza ubunifu na kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali katika utekelezaji wa majukumu yake, ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia na kuongeza tija katika sekta ya viwanda. Waziri Kapinga alitoa maagizo hayo Novemba 26, 2025, alipotembelea makao makuu…

Read More

WAFANYABIASHARA WAKUBWA TOKA KOREA WAJA NA FURSA ZA BIASHARA KWA BIDHAA ZA MADE IN TANZANIA

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imeratibu na kushiriki kongamano la Biashara baina ya Makampuni ya Tanzania na Waagizaji Bidhaa kutoka Korea- KOIMA lililoangazia kuimarisha ushirikiano yakinifu wa biashara kwa kuzingatia Maendeleo ya Biashara na Uchumi baina ya nchi hizo mbili, Dkt. Latifa M. Khamis Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade akizungumza kwa…

Read More

MHE.MCHENGERWA ATUA ALGERIA, AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA MKUTANO WA UZALISHAJI WA DAWA NA TEKNOLOJIA AFRIKA.

Na Mwandishi Wetu, Algiers Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo amewasili nchini Algeria akiwa ameongoza ujumbe kutoka nchini Tanzania kuja kushiriki Mkutano wa Mawaziri kuhusu Uzalishaji wa Ndani wa Dawa na Teknolojia barani Afrika unaotarajia kuanza hapo kesho. Mheshimiwa Mchengerwa na ujumbe wake umepokewa na Balozi wa Tanzania nchini Algeria Mhe. Iman Njalikai na…

Read More

Kuendelea kutofanya kazi licha ya ripoti ya G20 juu ya ukosefu wa usawa – maswala ya ulimwengu

Maoni na Jomo Kwame Sundaram (Kuala Lumpur, Malaysia) Jumatano, Novemba 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari KUALA LUMPUR, Malaysia, Novemba 26 (IPS) – Ingawa usawa kati ya nchi bado unachukua sehemu kubwa zaidi ya usawa wa mapato ulimwenguni kuliko usawa wa kiwango cha kitaifa, majadiliano ya usawa yanaendelea kuzingatia mwisho. Jomo Kwame Sundaram Mpango…

Read More

WADAU WA TEKNOLOJIA WA KUTOKA AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUJADILI MATUMIZI BORA YA AI KWA UCHUMI WA TAIFA

Na Pamela Mollel, Arusha. Mkutano wa kimataifa wa teknolojia ya akili bandia (AI) unaofanyika jijini Arusha umeendelea kuvuta wadau mbalimbali wa sekta ya TEHAMA, serikali na taasisi za huduma za umma, wote wakiwa na lengo la kujadili namna AI inaweza kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kuboresha utendaji wa taasisi za Afrika. Akizungumza kwenye mkutano huo,…

Read More

DKT. MWIGULU AWAONYA WAVUNJIFU WA SHERIA

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amevitaka vyombo vinavyosimamia usalama barabarani vitekeleze sheria hizo bila upendeleo kwani tabia ya kuogopana na kuoneana aibu imechangia baadhi ya watu kukwepa wajibu wakati wengine wakibebeshwa mzigo wa sheria.  “Yeyote atakayevunja sheria akamatwe na hatua zichukuliwe kwa usawa. Huyu mmoja anavunja sheria anakamatwa, analipa. Huyu mwingine anavunja mbele yake anaachwa….

Read More